Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko TANESCO: Tunaomba mtuvumilie
Habari Mchanganyiko

TANESCO: Tunaomba mtuvumilie

Mafundi umeme wakiwa kazini
Spread the love

 

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limewaomba Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho umeme unakatika kila mara kutokana na mvua na upepo mkali unaoharibu miundombinu yake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam  .. . (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 22 Januari, 2022,kwa umma na Ofisi ya Uhusiano- Makao Makuu Dodoma, imesema upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo tofauti nchini, miundombinu ya umeme imeathirika kwa kiasi kikubwa.

Pia imesababisha baadhi ya wateja wao kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti.

“Tunawaomba uvumilivu wenu wapendwa wateja wakati mafundi wetu kote nchini wanaendelea na kazi ya kurekebisha miundombinu hiyo ili kurejesha huduma ya umeme. Tunaomba radhi wateja wetu kwa usumbufu unaojitokeza,” aimesema taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!