Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa
Habari Mchanganyiko

Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa

Spread the love

 

MSANII wa muziki wa Injili nchini, Rose muhando amefunguka kwamba mojawapo ya mambo anayotaka afanikiwe kwa mwaka huu ni kumpata mume mzungu mwenye mapene. Anaripoti Mwandishi Wet… (endelea)

Kupitia ukurusa wake wa Instagram alifichua kwamba anafurahi maisha anayoishi na amejitolea katika huduma yake ya injili na mara nyingi husafiri kueneza injili, kutokana na hilo anasema ni vigumu kutulia kwenye ndoa.

Aidha, amesema kuolewa kutarudisha huduma yake nyuma, hivyo hayuko tayari kuingia kwenye ndoa.

Muhando ambaye ni mama wa watoto watatu anasema anataka mwanamume mzungu mwenye pesa.

“Yesu nitendee.. Ombi langu mwaka huu nataka nipate mume mzungu na mwenye ela” alisema Rose Muhando.

Isitoshe aliwambia mashabiki wake wanaweza kutuma maombi yao kwa chochote wangetaka Mungu awatendee mwaka huu na angewasaidia kwa maombi.

“Unaweza nitumia na wewe challenge yako ya Ombi lako huku ukiandika ombi lako unalotaka Mungu akufanyie mwaka huu 2022” alidokeza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!