Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari Lampard kocha mpya Everton
HabariMichezo

Lampard kocha mpya Everton

Spread the love

 

Kiungo wa kati wa zamani wa klabu ya Chelsea Frank Lampard, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Everton kwa mkataba wa miaka miwili na nusu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Lampard amejiunga na Everton akichukua mikoba ya Rafael Benited aliyetimuliwa kwenye kikosi hiko kufuatia kupata matokeo mabaya kwenye michezo ya Ligi Kuu msimu huu 2021/22.

Katika michezo 13 aliyocheza akiwa na Everton Benitez ameshinda mechi moja tu, na kuifanya timu hiyo kushika nafasi ya …. Kwenye msimamo wa Ligi.

Kibarua cha kwanza cha Lampard kitakuwa siku ya jumamosi katika mchezo wa mzunguko wane wa kombe la FA, dhidi ya Brentford kwenye dimba la Goodison Park.

Hiki kinakuwa kibarua cha kwanza cha Lampard, tangu alipofurushwa ndani ya klabu ya Chelsea kama kocha mkuu na nafasi yake kuchukuliwa na Thomas Tuchel.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!