TAARIFA za Bernard Membe, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ‘kukimwaga’ chama hicho, zinavuruga wengi. Anaandika Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea)....
By Faki SosiDecember 13, 2020WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme wa Ugavi nchini (TANESCO), kuhakikisha umeme haukatiki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Pia amelitaka shirika...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2020ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera amesema, “mimi niko salama, naendelea na majukumu yangu kama...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2020ALIYEKUWA Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Kata ya Namwawala, jimbo la Mlimba, mkoani Morogoro, Godfrey Luena, ametunukiwa “Tuzo ya...
By Mwandishi WetuDecember 12, 2020MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, wameendelea kujikusanyia pointi katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguDecember 12, 2020BUNGE katika Jamhuri ya Demokrasia ya Watu wa Kongo (DRC), limemuondoa madarakani, aliyekuwa Spika wake, Jeanine Mabunda, kufuatia kupigiwa kura ya kutokuwa na...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza waliokuwa watumishi wa Wakala wa Ukauzi wa Madini Tanzania (TMAA) kisha kuhamishiwa Tume ya Madini wapunguziwe mishahara...
By Regina MkondeDecember 11, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaomba Watanzania kumwombea Mbunge wa Kilwa Kaskazini Mkoa wa Lindi, Francis Ndulane aliyeshindwa kuapa kuwa Naibu Waziri...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2020MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seiff Sharif Hamad, hana mamlaka ya “kutumbua, kuteua; na au kushika kiti cha urais, ikiwa...
By Masalu ErastoDecember 11, 2020LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21 inaendelea tena mwisho wa juma hili ambapo vinara wa ligi hiyo klabu ya Yanga watakuwa ugenini...
By Kelvin MwaipunguDecember 11, 2020PROFESA Shukrani Manya, leo Ijumaa tarehe 11 Desemba 2020, inaweza kuwa siku ya historia katika maisha yake, baada ya kula viapo viwili tofauti...
By Masalu ErastoDecember 11, 2020UBALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, umefanya makubaliano na Serikali ya Tanzania kuanzisha ushirikiano wa maendeleo ya vijana hususan utoaji wa ajira. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageDecember 11, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeishauri Serikali nchini humo kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani ili kupata suluhu ya...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2020SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge wanne wa ACT-Wazalendo, kwenda bungeni kuapishwa ili waanze kuwatumikia wananchi...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2020SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemwapisha, Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge wa kuteuliwa na Rais. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 11, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Brightnes Boaz, Dar...
By Masalu ErastoDecember 11, 2020WATU wawili wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, wakituhumiwa kuibia kampuni ya Dimond Motors zaidi ya Sh.176.2 milioni. Anaripoti...
By Faki SosiDecember 10, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshangazwa na kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuwa hana mamlaka ya kuwafukuza bungeni, Halima Mdee...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2020WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amemtumbua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), Mhandisi David Pallangyo akitaka apangiwa...
By Masalu ErastoDecember 10, 2020ALIYEKUWA Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amepata hifadhi ya ukimbizi ya kisiasa nchini Canada. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nairobi … (endelea). Lema...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amewachambua mawaziri wake 21 na manaibu waziri 22, aliowateua tarehe 5 Desemba 2020 na kuwataka kwenda kufanya kazi...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2020MSHAMBULIAJI wa klabu ya Simba, John Bocco amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa Novemba, huku kocha wa Ruvu Shooting, Charles Mkwasa akichaguliwa kuwa kocha...
By Kelvin MwaipunguDecember 10, 2020MARA baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Tanzania, Kocha wa Simba, Sven amesema kuwa timu yake ilimiliki mpira...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2020MBUNGE wa Nzega Vijijini (CCM), Dk. Hamis Kigwangalla amewaomba radhi watumishi na wananchi aliowakosea enzi akiwa waziri wa Serikali ya Tanzania. Anaripoti Brightness...
By Masalu ErastoDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewaagiza wateule wake kutotumia mitandao ya kijamii katika utekelezaji wa majukumu yao, ili kudhibiti uvujaji wa siri...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapunguzia adhabu wafungwa 256 waliohukumiwa kunyongwa na kuagiza wapewe kifungo cha maisha gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amesema atafanya uteuzi mpya wa Naibu Waziri wa Madini baada ya aliyemteua, Francis Ndulane kushindwa kuapa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema wakati umefika kwa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) kuundwa bila ya kuwa na wahcezaji wanaotoka katika...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua tarehe 5 Desemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Uapisho...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Selemani Bungara maarufu ‘Bwege’ ametoa msimamo wake wa kisiasa mara baada ya kushindwa...
By Hamisi MgutaDecember 8, 2020JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) au mahakamani,...
By Masalu ErastoDecember 8, 2020MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Dk. Mshindo Msolla ameteua wanachama nane wa klabu hiyo akiwemo Wakili Iman Madega kuunda Kamati ya Mabadiliko ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, ameapishwa kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Kuapishwa kwake, kumetokana na matakwa ya Katiba ya Zanzibar ya...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUKI), Visiwani Zanzibar, Dk. Hussein Alli Mwinyi, amewaomba wananchi visiwani humo, kuweka kando tofauti zao za...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020HATIMAYE Maalim Seif Hamad, mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekubali yaishe. Ameapishwa kuwa Makamo wa Rais wa Kwanza, katika serikali ya Umoja...
By Regina MkondeDecember 8, 2020RB Leipzing inashiliki Ligi Kuu ya Ujerumani imeshikilia hatma ya klabu ya Manchester United kufuzu kwenye hatua ya 16 bora ya michuano ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020MAKOCHA vigogo katika Ligi Kuu England, Jose Mourinho, Frank Lampard na Ole Gunna Solskjaer ni miongoni mwa makocha wanne walio kwenye kinyang’anyiro cha...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne tarehe 8 Desemba 2020, atamwapisha Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) yote nchini humo wahakikishe watendaji wote wa Mikoa, Wilaya, Halmashauri wasiende...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara ikamilishe utaratibu wa kuwa na bei kikomo ya saruji ili kuuwezesha...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa wanachama wawili wa ACT-Wazalendo kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020MCHEZO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga dhidi ya Dodoma Jiji FC utachezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi amemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua umaliziaji wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru unaoendelea katika wilaya ya Chamwino jijini Dodoma na kuagiza...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020UAMUZI wa Kamati Kuu (CC) ya chama cha ACT- Wazalendo, kujiunga kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani (SUKI), umeanza kupingwa kila kona....
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020ALIYEKUWA Kamishana wa Sekretarieti ya Maandili ya Viongozi wa Umma nchini Tanzania, Jaji mstaafu Harold Nsekela amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa za...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020BARAZA la Uongozi la Chama cha ACT-Wazalendo, tayari limependekeza jina la Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), lakini...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza, uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, umerejesha visiwa hiyo ‘gizani’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Akieleaza maazimio ya...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimekubali kuungana na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), visiwani Zanzibar. Anaripoti...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa mawaziri 21, Naibu Mawaziri 23 na wabunge wawili aliowateua kisha kuwapangia wizara za kuhudumu....
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020