Saturday , 27 April 2024
Home sosi
809 Articles18 Comments
Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya waongoza watalii nchini. Anaripoti Faki Sosi, Kilimanjaro … (endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

DC Rufiji atahadharisha mafuriko kuongezeka, ACT wataka wananchi wafidiwe

MKUU wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele ametoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na maeneo yalliyokumbwa na mafuriko ya maji yaliyofunguliwa kutoka...

Tangulizi

Nondo, wenzie 4 kuburuzwa mahakamani

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo Abdul Nondo na wenzake wanne huenda wakafikishwa mahakamani tarehe 25 Machi kwa tuhuma za...

Biashara

Vodacom yazindua kampeni ya Bima Kidigitali, Serikali yaipa heko kwa ubunifu

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania, kupitia huduma zake za VodaBima zinazopatikana kupitia M-Pesa, imezindua kampeni kabambe ya Bima Kidijitali ambayo itanufaisha wagonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Bunge laja na Marathon kuchangia ujenzi wa sekondari

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kukusanya fedha za kujenga shule ya wavulana ya vipaji Maalum kupitia mashindano ya mbio ‘marathon’....

Habari za Siasa

CUF: ACT inakurupuka kujitoa SUK

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Maftaha Nachuma amesema kuwa Serikali ya umoja wa Kitaifa (SUK)-imetokana na maridhiano ya chama chao (CUF)...

Habari za Siasa

Karume ataka ACT, CCM wainusuru SUK

WAKATI Chama cha ACT-Wazalendo kikitangaza nia ya kujiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa – Zanzibar (SUK), Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid...

Habari za Siasa

Mnyika atoa siri ya watu kupoteza imani na uchaguzi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema kupungua kwa idadi ya wapiga kura katika uchaguzi kumetokana na watu...

Habari za SiasaTangulizi

ACT -Wazalendo watishia kujitoa serikali Zanzibar

CHAMA  cha ACT Wazalendo kimetangaza nia ya kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Babu Owino: Vijana msibaki nyuma

Mbunge wa Embakasi Mashariki nchini Kenya, Paul Ongili Owino maarafu ‘Babu Owino’ amewaasa vijana kuwa chachu ya mageuzi ya kisiasa ili kuwaletea mabadiliko...

Habari za Siasa

Babu Duni amlilia Lowassa, akumbuka walivyoshinda uchaguzi 2015

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji ‘Babu Duni’ ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 alikuwa Mgombea Mwenza wa Hayati Edward,...

Habari za Siasa

Gekul aitwa mahakamani, Nondo mkalia kooni

MAHAKAMA Kuu Tanzania Masjala ndogo ya Manyara imetoa wito kwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na  Mbunge wa Babati Mjini, Pauline...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wakata rufaa kupinga hukumu ya Jaji Mkeha

HATIMAYE Mbunge wa Viti Maalumu Halima Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa katika Mahakama ya Rufaa nchini Tanzania kwa kutoridhishwa na hukumu iliyotolewa...

Habari Mchanganyiko

ACT waivaa LATRA CCC nauli kupanda, wataka ivunjwe

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kulivunja Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (Latra CCC) kwa kushindwa kusimamia vema...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yalia na machinga Arusha

CHAMA Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘machinga’ yatakayowawezesha kufanyabiashara zao na si kuwakimbiza na kuwamwaga bidhaa zao. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Malasusa: Kujilimbikiza mali, rushwa imerejea kwa kasi

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania limeonya watu kuacha tabia ya kujilimbikizia mali na kula rushwa kwa kuwa matendo hayo yamepigwa vita na...

Afya

Manumba: Bilioni 4.7 zimebadili afya Kigoma DC

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluh Hassan imetoa zaidi ya Sh bilioni 4.7 katika kuboresha huduma za afya halmashauri...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yabatilisha uamuzi wa Baraza Kuu Chadema kesi ya akina Mdee

MAHAKAMA Kuu Tanzania  Masjala ya Dar es Salaam imebatilisha uamuzi wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililobariki uamuzi wa...

Habari za Siasa

Daktari atoa ushahidi alivyomtibu majeruhi aliyeshambuliwa na mfanyakazi wa CRDB

JOEL Mwinza (44), Daktari Bingwa wa Mifupa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Mifupa (MOI), Joel Mwinza ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya mauaji Kakonko kutajwa Desemba 28

KESI ya mauaji inayowakabili maofisa uhamiaji  watatu wilayani Kakonko waliofikishwa kizimbani kwa tuhuma za kumuua Enos Elias itatajwa tarehe 28 Desemba mwaka huu....

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

RAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni katika uzinduzi wa taasisi ya Professa Jay Foundation pamoja na kuahidi kumgharamia matibabu...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

MAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amejitokeza leo Jumapili jijini Dodoma na kuwaelezea waumini wa Katoliki Parokia...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

SERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa una miamba dhoofu iliyonyonya maji ndio chanzo cha maporomoko yaliyoleta maafa katika eneo...

Habari za Siasa

Kigoma walia rushwa ugawaji vitambulisho vya NIDA

BAADHI ya wananchi mkoani Kigoma wameilalamikia Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa madai kuwa baadhi ya maofisa wake mkoani humo...

Habari za Siasa

Zitto alia hujuma kambi ya wakimbizi Nduta kufungwa, adai inakwamisha maendeleo

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemtaka Mkuu wa kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Kibondo mkoani Kigoma kufungua kambi hiyo ili wananchi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda mbaroni kwa kuandamana

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda na wenzake  wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa kosa kuandamana kwa...

Afya

Watanzania watakiwa kupima afya mara kwa mara kudhibiti saratani

INAKADIRIWA kuwa Watanzania 14,028 sawa na asilimia 33.3   kila mwaka hupata ugonjwa kwa saratani. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Kwa mujibu wa Takwimu...

Habari Mchanganyiko

Polisi wajinoa kuboresha ushirikiano na waandishi wa habari

KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya vyombo vya habari na Jeshi la Polisi nchini, jeshi hilo limeshaanza elimu ya utayari kwa askari wake...

Habari Mchanganyiko

Miaka 60 ya NIC, kuwafuta jasho wakulima

WAKATI Shirika la NIC Insurence likitimiza miaka 60 tangu kuanzishwa kwake limekusudia kufanya mageuzi makubwa kwenye kilimo kwa kutoa bima kwa wakulima na...

Habari Mchanganyiko

Kikeke ala shavu Zanzibar

Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imempa jukumu la kuwa mshauri wa masuala ya habari na uhusiano mtangazaji wa zamani wa BBC Salim...

Habari Mchanganyiko

Watafiti kuvuna biliona 9 za kukabili mabadiliko ya tabianchi

SERIKALI ya Tanzania  na Norway imesaini makubaliano ya kufanya  utafiti utakaosaidia  kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Makubaliano hayo...

Habari Mchanganyiko

Sheria mpya za habari zawaibua EALS kuwaandaa waandishi kuzikabili

CHAMA cha Wanasheria Afrika Masharika (EALS) kimetoa wito kwa waandishi wa habari kusoma na kuzielewa sheria zinazoongoza sekta hiyo ili kuamka na kupaza...

Habari za SiasaTangulizi

JUKATA waanika sababu Dk. Ndumbaro kung’olewa

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeeleza kuwa mojawapo ya sababu ya kuhamishwa Dk. Damas Ndumbaro kutoka Wizara ya Katiba na Sheria kuelekea wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenzie na Mdee amponza kigogo Chadema, asimamishwa uongozi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemsimisha uongozi Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Tabora, Lucas Kiberenge na wenzake kwa kushiriki kumuandalia mkutano...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa Serikali na mjadala unaondelea Bunge kuhusu ushirikishwaji wa sekta binafsi kwenye ujenzi wa...

Habari za Siasa

Katiba mpya hiyoo! Samia aagiza Msajili kuitisha kikao maalumu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo yaitaka jamii kulinda watoto

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa jamii kuhakikisha watoto wanalindwa ili kufikia malengo yao ikiwamo kutimiza ndoto ya kuwa viongozi imara kwa maslahi...

Habari za Siasa

Serikali iwarejeshe nchini wafungwa Watanzania

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwarejesha Watanzania wanaoshikiliwa na waliokutwa na makosa ya jinai katika mataifa ya nje. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Habari za Siasa

Raia 200 wa Tanzania waliokwama Sudan kurejea nchini

  SERIKALI imesema kuwa Watanzania 200 waliokwama nchini Sudan wakati huu ambako taifa hilo likiwa kwenye machafuko wapo njiani kurejea nyumbani. Anaripoti Faki...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa wito matumizi ya Tehema kwa wadau  

  MAHAKAMA nchini Tanzania imetoa wito kwa wadau wa mahakama kutumia mifumo ya Tehema ili kurahisha usikilizwaji wa  mashauri na kuendana na kasi...

Habari Mchanganyiko

Yara yaja na bima ya mazao kwa wakulima

  WAKATI serikali ikiweka mikakati mbalimbali kuimarisha sekta ya kilimo ili kuwanusuru wananchi wake na baa la njaa, kampuni ya mbolea -Yara imezindua...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya Karibu Tanzania Organization ‘KTO’ na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imezidi kuchagiza...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka unafuu riba mikopo ya nyumba

  WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula, ametoa wito kwa benki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lema kurejea Machi 3 na sumu ya kuangamiza chawa

  HATIMAYE Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, ametangaza kurejea nchini tarehe 3 Machi 2023. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndugu wa Mtanzania aliyefariki vitani Ukraine walala matanga siku 10 wakisubiri mwili

  NDUGU wa Tarimo Nemes Raymond Raia wa Tanzania aliyefariki kwenye uwanja wa vita katika mji wa Bakhmut nchini Ukraine akipigana upande wa...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu asisitiza Mahakama kutenda haki

  ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na...

Habari Mchanganyiko

Samia mgeni rasmi siku ya sheria, Jaji mkuu atoa ujumbe kwa mahakama

  ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na kwa...

Habari Mchanganyiko

Baraza la ardhi Kinondoni laipiga ‘stop’ Manispaa kujenga eneo lenye mgogoro

BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni limetoa amri ya zuio ya ujenzi wa Kituo cha Afya eneo la Tegeta ‘A’...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro yahukumiwa kulipa fidia ya Mil. 300/=

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeiamuru Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro kulipa fidia ya Sh. 300 milioni baada ya moja...

Habari

ALAF watoa ufadhili kwa wanafunzi wanaosomea Kiswahili

  WAKATI lugha ya Kiswahili ikizidi kuenea dunia Kampuni ya vifaa vya ujenzi ya ALAF pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...

error: Content is protected !!