WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya Karibu Tanzania Organization ‘KTO’ na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imezidi kuchagiza...
By Faki SosiMarch 7, 2023WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula, ametoa wito kwa benki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya...
By Faki SosiFebruary 21, 2023HATIMAYE Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, ametangaza kurejea nchini tarehe 3 Machi 2023. Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 2, 2023NDUGU wa Tarimo Nemes Raymond Raia wa Tanzania aliyefariki kwenye uwanja wa vita katika mji wa Bakhmut nchini Ukraine akipigana upande wa...
By Faki SosiJanuary 19, 2023ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na...
By Faki SosiJanuary 10, 2023ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na kwa...
By Faki SosiJanuary 10, 2023BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni limetoa amri ya zuio ya ujenzi wa Kituo cha Afya eneo la Tegeta ‘A’...
By Faki SosiJanuary 4, 2023MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeiamuru Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro kulipa fidia ya Sh. 300 milioni baada ya moja...
By Faki SosiDecember 21, 2022WAKATI lugha ya Kiswahili ikizidi kuenea dunia Kampuni ya vifaa vya ujenzi ya ALAF pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...
By Faki SosiDecember 15, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Charles Meshack amesema iwapo hakutakuwa na hatua madhubuti katika utunzaji na...
By Faki SosiNovember 24, 2022WANANCHI wa vijiji vya Lulongwe kata ya Matuli na kijiji cha Mlilingwa kata ya Tununguo, Wilaya ya Morogoro mkoani humo, wamesema Mradi...
By Faki SosiNovember 22, 2022WAANDISHI wa Habari nchini wameaswa kuacha kuandika habari kusifia ilhali wananchi bado wanakabiliwa changamoto zinazokwamisha maendeleo yao. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Faki SosiNovember 7, 2022SHIRIKA la Uzashaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa SUMAJKT imekabidhi jozi 500 za viatu vya wanafunzi kwa ajili ya kusaidia kampeni...
By Faki SosiNovember 4, 2022WADAU wa ubunifu wa teknolojia katika masuala ya kilimo, fedha na elimu wamekutana jijini Dar es Salaam kubadilishana uzoefu ili kukuza bunifu...
By Faki SosiNovember 3, 2022TANZANIA imekuwa mwenyeji wa mashindano ya dunia ya utanashati, urembo na mtindo ya watu wenye tatizo la kusikia ‘viziwi’ (Miss & Mister...
By Faki SosiOctober 27, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chauuma), Hashimu Rungwe amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuzifuta sheria zote kandamizi kwa vyombo vya...
By Faki SosiOctober 27, 2022KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amesema vyombo vya habari vikiwa huru vinaisaidia Serikali...
By Faki SosiOctober 25, 2022WAANDISHI wa Habari nchini Tanzania wamepewa wito wa kuishawishi jamii na kuondosha dhana potofu juu ya chanjo ya Ugonjwa wa uviko -19....
By Faki SosiOctober 18, 2022Serikali inatarajia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili ya kuwezesha wasanii wote nchini kupata fursa ya kukopa bila riba na kujikwamua kiuchumi pamoja...
By Faki SosiOctober 18, 2022WANANCHI wilayani Mafia wameilalamikia kukosekana kwa huduma ya usafiri wa kuvuka kuingia na kutoka kisiwani humo kwa zaidi ya siku tatu huku...
By Faki SosiOctober 11, 2022KATIBU wa chama cha ACT-Wazalendo mkoa wa kichama Selou, Abdallah Mtutura amesema kitendo cha CCM kupeleka wabunge wasioweza kuwasema wananchi wao ni kuwaonea...
By Faki SosiOctober 5, 2022KAMPENI ya China dhidi ya Wauyghur imesambaa katika mipaka yake, na kuwakumba mamia ya Wapakistani ambao wanailalamikia China kwenye masuala ya imani zao...
By Faki SosiSeptember 27, 2022LICHA ya Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam kuweka amri ya zuio la muda la kutofanyika kwa mikutano ya Chama cha...
By Faki SosiSeptember 24, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kuanza kusikiliza rasmi shauri la kupinga kuvuliwa uanachama la Halima Mdee na wenzake 18...
By Faki SosiAugust 25, 2022WAKATI jirani zetu nchi ya Kenya wakimaliza uchaguzi wao , Ubora wa Katiba yao umetajwa kuwa sababu ya kutokuwa na machafuko licha...
By Faki SosiAugust 19, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imefuta hukumu iliyomtia hatiani aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo (2015-2020), Saed Kubenea...
By Faki SosiAugust 18, 2022WAKATI Dunia ikihubiri haki na usawa wa kijinsia huko nchini Pakistani wanawake wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia , kubakwa na kutekwa nyara....
By Faki SosiAugust 9, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri ya wito kwa Halima Mdee na wenzake saba kufika mahakamani hapo Tarehe 26...
By Faki SosiJuly 29, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile amesema kusudio la maboresho ya sheria za habari nchini, yanalenga kuwaondoa wanahabari na...
By Faki SosiJuly 28, 2022KESI ya waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, ya kupinga kuvuliwa uanachama wa...
By Faki SosiJuly 28, 2022WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk. Damas Ndumbaro amesema licha ya kuwa Katiba iliyopo inafaa lakini ina mapungufu yake ndio maana Serikali...
By Faki SosiJuly 20, 2022WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammedi Mchengerwa amesema kifo cha muigizaji mkongwe Chuma Suleiman maarufu kama Bi Hindu kimeacha pengo kubwa...
By Faki SosiJuly 11, 2022HATIMA ya endapo Halima Mdee na wenzake 18 wataendelea kusalia kuwa wabunge itajulikana ndani ya siku 14 za usikilizaji wa shauri namba...
By Faki SosiJune 29, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Wakili wa Chadema, Peter Kibatala, la kuondoa mapingamizi yao dhidi ya kesi...
By Faki SosiJune 29, 2022WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa 13 yakiwamo kukwepa kodi iliyopelekea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupata...
By Faki SosiJune 25, 2022MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imeahirisha kutoa uamuzi juu ya maombi ya familia ya marehemu Stella Moses (30) aliyedaiwa kujinyonga kwenye kituo...
By Faki SosiJune 14, 2022ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini-CAG, Profesa Mussa Assad amesema licha ya kuwa kuna umuhimu wa kuwa na Katiba...
By Faki SosiMay 19, 2022ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART), Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashataka 15 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
By Faki SosiMay 9, 2022MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imepanga kutoa uamuzi tarehe 18 Mei 2022 juu ya maombi ya Mbunge wa zamani wa jimbo la...
By Faki SosiMay 6, 2022IKIWA ni muendelezo wa kutenda mema Kampuni za Smart Africa Group (SAG) imefuturisha watoto yatima na waumini wengine kwenye mfungo wa mwezi...
By Faki SosiApril 27, 2022KAMPUNI za Smart Africa Group (SAG) imetoa msaada wa vyakula na mafuta kwa ajili ya futari kwa watoto yatima wanaosoma kwenye shule...
By Faki SosiApril 26, 2022KAMPUNI ya ya Mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania pamoja na Smart Lab imezindua mpango maalam wa kuwawezesha wajasiriamali wadogo...
By Faki SosiApril 25, 2022MCHUMBA wa aliyekuwa Msanii wa Bongo fleva, Maunda Zoro ambaye amefariki dunia jana Kigamboni jijini Dar es Salaam, amefunguka kwamba alitarajia kufunga...
By Faki SosiApril 14, 2022WAZIRI wa Katiba na Sheria Dk. Damas Ndumbaro amekutana na Balozi wa China nchini Tanzania na kujadili kwa pamoja namna ya ushirikiano...
By Faki SosiApril 7, 2022SERIKALI ya Tanzania imewataka wananchi kujenga tabia ya kupima afya zao kwenye magonjwa yasiyoambukiza hususani saratani kutokana na idadi ya wagonjwa hao...
By Faki SosiApril 6, 2022SERIKALI imetoa ahueni kwa vyombo vya habari vya mtandaoni kwa kupunguza malipo ya ada ya leseni ya mwaka na kuwaondolea ada watoa...
By Faki SosiMarch 14, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekataa kupokea kielelezo cha Tape iliyofikishwa mahakamani hapo na shahidi wa sita wa Jamhuri, Inspekta...
By Faki SosiMarch 9, 2022TAASISI ya Usimamizi wa Dawa ya Ulaya – (EMA), imeidhinisha matumizi ya aina mbili za dawa za kutibu maradhi ya COVID-19, pamoja...
By Faki SosiDecember 17, 2021KAMPUNI ya uchimbaji wa Madini ya Dhahabu mkoani Geita (GGML) kwa kushirikiana na Ofisiya Mkuu wa Mkoa huo, imetoa mafunzo kwa waandishi wa...
By Faki SosiSeptember 13, 2021WAGONJWA wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), nchini Tanzania, imeongezeka kutoka 408 hadi kufikia 682....
By Faki SosiJuly 23, 2021