Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Karume ataka ACT, CCM wainusuru SUK
Habari za Siasa

Karume ataka ACT, CCM wainusuru SUK

Rais mstaafu Amani Karume
Spread the love

WAKATI Chama cha ACT-Wazalendo kikitangaza nia ya kujiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa – Zanzibar (SUK), Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume amewataka viongozi wa pande zote kukaa chini kuzungumza. Anaripoti Faki Sosi …(endelea).

Akihojiwa na UTV Visiwani Zanzibar, Karume  amesema kuwa kitendo cha viongozi kutaka kujiondoa kwenye serikali ni kukimbia majukumu yao.

“Hapo nyuma yalishatokea matatizo makubwa kuliko haya tukasema tukae chini yakazungumzwa” amesema Karume.

Karume amesema kuwa suluhu ya matatizo yote ni watu kukaa chini kuzungumza kwa pamoja “Wakae chini wazungumze watafute suluhisho”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!