Saturday , 4 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Kesi ya mauaji Kakonko kutajwa Desemba 28
Habari Mchanganyiko

Kesi ya mauaji Kakonko kutajwa Desemba 28

Spread the love

KESI ya mauaji inayowakabili maofisa uhamiaji  watatu wilayani Kakonko waliofikishwa kizimbani kwa tuhuma za kumuua Enos Elias itatajwa tarehe 28 Desemba mwaka huu. Anaripori Faki Sosi …(endelea).

Maofisa hao ni pamoja na Joachim Frathazaus (Kafupi), Fredrick Kyomo na Mabrouk Hatibu.

Awali watuhumiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu ya Wilaya ya Kakonko tarehe 28 Oktoba mbele ya Hakimu Kyamba ambapo Charles Mwakanyamale Mwendesha Mashtaka wa Serikali aliwasomea shtaka moja la kufanya mauaji kwa kukusudia

Watuhumiwa hao tarehe 28 Oktoba wanadaiwa walimuua kwa makusudi kijana Enos Elias (20) katika kijiji cha Chilambo.

Kesi hiyo namba 38283 ilitajwa jana tarehe 11 na kuahirishwa mpaka tarehe 28 Desemba 2023 kwa ajili ya kutajwa ambapo upande wa Jamhuri unaendelea na Mashtaka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

error: Content is protected !!