Monday , 11 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Sheikh Ponda mbaroni kwa kuandamana
Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda mbaroni kwa kuandamana

Spread the love

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda na wenzake  wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa kosa kuandamana kwa lengo la kushinikiza kusimamishwa kwa mapambano ya Israel na wapiganaji wa Hamas katika ukanda wa Gaza nchini Palestina. Anaripoti Faki Sosi …(endelea).

Sheikh Ponda na wenzake wanaokadiriwa kufika tisa wamekamatwa leo Ijumaa Mnazi mmoja walipapanga kuanza maandamano  yao waliyolenga kufika mpaka Manzese Tip Top .

Maandamano hayo hayakufika popote baada ya kachero wa Jeshi  la Polisi aliyevaa kiraia alipoonekana kumzuia Sheikh Ponda na wenzake kufanya maandamano hayo.

Kachero huyo  alimtaka Sheikh Ponda aingie kwenye gari lao .

Kwa mujibu wa msaidizi wa Sheikh Ponda amesema kuwa kiongozi wao na wafuasi wengine tisa wapo kwenye mikono ya Polisi.

1 Comment

  • Kwani walivunja sheria gani? Lerngo lao lilikuwa ni sawa na la serikali. Katika Umoja wa Mataifa nchi yetu ilupiga kura ya kusimamisha mauaji ya Gaza. Na ndio lengo la Ponda. Sasa kosa liko wapi?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Amsons Group watoa milioni 100 waathirika maafa Hanang

Spread the loveKAMPUNI ya Amsons Group kupitia kampuni zake za Camel Oil...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

Spread the loveMAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari Mchanganyiko

Kesi ya mfanyakazi wa CRDB itaendelea J’tatu

Spread the love  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam inatarajia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

Spread the loveWAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa...

error: Content is protected !!