Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Balile: Wanafunzi wapewe motisha kujiunga na tasnia ya habari
Habari Mchanganyiko

Balile: Wanafunzi wapewe motisha kujiunga na tasnia ya habari

Spread the love

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile amesema kuwa ni muda muafaka wa kuwapa motisha wanafunzi katika tasnia ya habari. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Balile ameyasema hayo leo Ijumaa katika Chuo kikuu cha Tumaini (Tudarco) baada ya kumkabidhi zawadi Mwanafunzi Patson Andungalile  aliyefanya vizuri katika masomo ya uandishi wa habari chuoni hapo.

“Tumeshuhudia tasnia nyingine wafanyakazi, wanafunzi wanaofanya vizuri hupewa zawadi sasa ni wakati muafaka wa kuwatia moyo wanafunzi katika tasnia hii ili naye akimaliza ajue kuwa anatambulika” amesema Balile.

Balile amewataka wanafunzi wa taalama ya habari kuhakikisha wanajiandaa vizuri ili wakiingia kwenye vyombo vya habari wapate nafasi ya kuajiriwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!