MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), Jenerali Davis Mwamunyage amesema, tatizo la...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020HATIMA ya Chama cha ACT-Wazalendo kushiriki katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020,...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewashauri wananchi wasiokuwa na ajira kujikita katika masuala ya kilimo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020PROFESA Abdallah Safari, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, Halima Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la...
By Kelvin MwaipunguDecember 4, 2020MZEE Ameir Ameir bin Soud, Mzanzibari kindakindaki, mjuzi mkubwa wa historia ya Zanzibar inayohusisha nyanja ya siasa, utamaduni, kilimo na ustawi wa jamii...
By Jabir IdrissaDecember 4, 2020UTAFITI wa rushwa ya ngono katika taasisi za elimu ya juu uliohusisha vyuo vikuu viwili vya Dar es Salaam na Dodoma, umewasilishwa leo...
By Danson KaijageDecember 4, 2020KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD nchini Tanzania inayozalisha magazeti ya Dimba, Rai, Mtanzania na Bingwa imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kuanzia...
By Mwandishi WetuDecember 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania kimesema, Halima Mdee na wenzake 18 bado hawajawasilisha rufaa zao za kupinga kufukuzwa uanachama wa...
By Masalu ErastoDecember 4, 2020INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) nchini Tanzania, Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC). Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Masalu ErastoDecember 4, 2020KLABU ya soka ya Simba imemkana Afisa habari wake, Haji Manara kufuatia kauli yake yakutotaka mashabiki wa timu pinzani kuja kwenye mchezo dhidi...
By Masalu ErastoDecember 3, 2020HALIMA James Mdee, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),” amepata pigo jingine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 3, 2020TUME ya Umoja wa Mataifa (UN) ya Dawa za Kulevya, imepiga kura ya kuidhinisha kuiondoa bangi katika orodha ya dawa za kulevya. Inaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 3, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameahirisha maadhimisho ya 59 ya sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara zilizokuwa zifanyika tarehe 9 Desemba 2020. Anaripoti...
By Masalu ErastoDecember 3, 2020MKUU wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi kata za Kia na Mnadani wilayani...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020SIKU moja tu kufuatia kauli ya Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara ya kutotaka mashabiki wa timu pinzani kuingia Uwanjani kwenye mchezo...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameiandikia barua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuDecember 3, 2020GEORGE Lwandamina, aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga nchini Tanzania kati ya mwaka 2016 hadi 2018, amewasili nchini humo kujiunga na Azam...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020HATIMAYE safari ya kisiasa ya aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la taifa (BAWACHA), katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima James...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020KLABU ya Simba imefanikiwa kumsaini kiungo makabaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda, Taddeo Lwanga ambaye amekuja kuziba pengo la Gerson Fraga ambaye amepata...
By Kelvin MwaipunguDecember 2, 2020‘TIKI Taka mpaka kwa Mkapa,’ ndio kauli mbiu wanayoingia nayo klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano wa klabu bingwa barani Afrika hatua...
By Kelvin MwaipunguDecember 2, 2020BISWALO Mganga, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amehoji, ‘Mbowe (Freeman Mbowe) anataka nimfunge?’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea). Ametoa kauli hiyo...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020SERIKALI ya Tanzania imeiandikia barua Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya kutaka maelezo namna Rashid Charles Mberesero, alivyojiua katika gereza la Kamiti....
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020MWANASHERIA Mkuu wa Marekani, William Barr amesema, wizara ya sheria imechunguza madai ya udanganyifu katika uchaguzi wa 3 Novemba mwaka huu na kushindwa...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020GARI la Robert Kyagulanyi ‘Bob Wine,’ mgombea urais nchini Uganda kupitia chama cha upinzani cha FDC, limeshambuliwa kwa risasi. Vinaripoti vyombo vya habari vya...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Aboubakar Kunenge amewataka wakuu wa wilaya za jiji hilo (DC) kuhakikisha wanasimamia shughuli ya usafiri...
By Hamisi MgutaDecember 2, 2020VIFO vitokanavyo na Virusi Vya Ukimwi (VVU), vimepungua kutokana na uimarishaji wa huduma za tiba ikiwemo matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2020SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeandaa bonanza kwa ajili ya vyombo vya Habari litakalofanyika tarehe 6 Desemba 2020 kwenye viwanja vya...
By Kelvin MwaipunguDecember 1, 2020HALIMA Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), amesema atatema ubunge wa viti maalum iwapo ‘watakubaliana.’ Anaripoti...
By Yusuph KatimbaDecember 1, 2020HALIMA James Mdee na wenzake 18 wamepata kigugumizi kuweka wazi, mchakato uliofanyika kupatikana kwao hadi kwenda bungeni jijini Dodoma kuapishwa kuwa wabunge wa...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ya chama hicho...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemaliza mgogoro wa ardhi katika shamba la Chanzuru lenye ukubwa wa ekari 1,598 lililopo wilayani Kilosa, Mkoa...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema, Halima Mdee na wenzake 18 waliofukuzwa uanachama Chadema “wataendelea kuwa wabunge halali labda wao wenyewe...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaapisha Humphrey Polepole na Riziki Lulinda kuwa wabunge wa Bunge hilo. Anaripoti...
By Masalu ErastoNovember 30, 2020RASHID Charles Mberesero, Mtanzania aliyehukumiwa kifungo cha maisha kutokana na kuhusika katika shambulio la kigaidi la Garisa, Kenya mwaka 2015, amejinyonga na kufariki...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020WATU watatu wavuvi katika Ziwa Victoria wilayani Busega, Simiyu wamefariki dunia baada ya mtumbwi wao kupasuka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea). Taarifa...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020MLANGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umefunguliwa kwa Ester Matiko, Ester Bulaya, Halima Mdee na wengine waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadeama), ameeleza kuumizwa na uamuzi wa Halima Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020TIMU ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Plateau...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2020RAIS Tanzania, John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa wabunge wawili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
By Mwandishi WetuNovember 29, 2020BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) limesema, kuondoka kwa mwenyekiti wake, Halima Mdee na wenzake 18, hawatarudisha nyuma jitihada...
By Regina MkondeNovember 28, 2020SIKU moja baada ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kuwafukuza uanachama, Halima Mdee na wenzake 18 kwa...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetangaza kuwafukuzwa uanachama wanachama Halima Mdee na wenzake 18 kwa tuhuma za usaliti. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 27, 2020TUME ya taifa ya uchaguzi (NEC) imesema, majina ya wabunge wa viti maalum, kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliwasilishwa NEC na...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kikao chake cha dharura, jijini Dar es Salaam, kujadili tuhuma za usaliti zinazowakabili...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2020LEO tarehe 27 Novemba, 2020 ndio siku inayopigwa fainali ya klabu bingwa Afrika inayozikutanisha miamba ya soka nchini Misri, klabu ya Al Ahly...
By Kelvin MwaipunguNovember 27, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Ijumaa tarehe 27 Novemba 2020, kinafanya kikao maalum cha kamati kuu kuwajadili wanachama wake 19 wanaodaiwa...
By Regina MkondeNovember 27, 2020SAKATA la wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kwa kukubali uteuzi wa wabunge...
By Regina MkondeNovember 26, 2020HALIMA James Mdee, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), “amenasa kwenye ndoana.” Hawezi tena kuchomoka. Anaripoti Mwandishi Maalum…(endelea)....
By Mwandishi WetuNovember 26, 2020MSHAMBULIAJI wa Azam FC na timu ya Taifa ya Zimbabwe, Price Dube ataondoka nchini Jumapili ya tarehe 29 Novemba, 2020, kuelekea Afrika Kusini...
By Kelvin MwaipunguNovember 26, 2020BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), limeishauri Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza uanachama, wanachama 19 waliokwenda kinyume na msimamo...
By Mwandishi WetuNovember 26, 2020