Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Magazeti ya Mtanzania, Dimba, Rai yafungwa
Habari MchanganyikoTangulizi

Magazeti ya Mtanzania, Dimba, Rai yafungwa

Spread the love

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD nchini Tanzania inayozalisha magazeti ya Dimba, Rai, Mtanzania na Bingwa imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kuanzia Jumatatu ijayo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo, Denis Msacky akizungumza na wafanyakazi leo Ijumaa tarehe 4 Desemba 2020 amesema, hatua hiyo inatokana na mwenendo wa biashara kuwa mbaya.

Msacky amesema, magazeti yote yataendelea kutoka hadi Jumatatu ya tarehe 7 Desemba 2020 yatakapositishwa rasmi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!