Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku
Habari za SiasaTangulizi

Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene
Spread the love

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amepiga marufuku, makongamano ya dini au mikutano ya mikesha inayofanyikia viwanja vya wazi usiku wa kuamkia mwaka mpya ambayo ni leo alhamisi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Makongamano na mikutano hiyo huwa inafanyika kila tarehe 31 Desemba kuuaga  na kuukaribisha mwaka mpya na mwaka huu yalikuwa yafanyike viwanja mbalimbali ikiwemo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, jana Jumatano tarehe 30 Desemba 2020, Waziri Simbachawene alizuia mikutano na makongamano hayo nchi nzima ambayo yangefanyika leo na kuagiza yafanyikie kanisani na mwisho iwe saa 6:30 usiku huku akionya watakaokaidi agizo hilo, watachukuliwa hatua.

Taarifa yote ya Waziri Simbachawene hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!