Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Tangulizi Ajali yauwa Watu 18 na kujeruhi 15 mkoani Pwani
Tangulizi

Ajali yauwa Watu 18 na kujeruhi 15 mkoani Pwani

Spread the love

WATU 18 wamepoteza maisha huku 15 wakijeruhiwa, katika ajali iliyohusisha lori la gari la abiria, iliyotokea asubuhi ya leo tarehe 15 Aprili 2020, mkoani Pwani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa ya ajali hiyo imetolewa na Onesmo Lyanga, Kamanda Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi wa Rufiji.

Kamanda Lyanga amesema ajali hiyo imetokea kwenye kijiji cha Kilimahewa wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani, baada ya gari hilo kugongana na lori.

Amesema majeruhi wanapatiwa matibabu katika Kituo cha Afya cha Kilimahewa.

Amesema gari la abiria lilikuwa linatokea mikoa ya Kusini kwenda jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

error: Content is protected !!