RICHARD Mganga Ndassa, Mbunge wa Jimbo la Sumve (CCM), amefariki leo tarehe 29 Aprili, 2020, jijijni Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Ndassa alizaliwa tarehe 21 Machi 1959, aliongoza jimbo la Sumve mkoani Mwanza tangu mwaka 2010.
Taarifa zaidi zitakujia….
Leave a comment