Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mch. Getrude Lwakatare afariki dunia
Habari MchanganyikoTangulizi

Mch. Getrude Lwakatare afariki dunia

Mch. Getrude Lwakatare
Spread the love

MCHUNGAJI wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God), amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 20 Aprili 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imethibitishwa na miongoni mwa Askofu wa Kanisa hilo, Joachim Kimanza.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa familia yake, Mama Rwakatale alikuwa anasumbuliwa na presha.

Hadi umauti unamfika, Mama Rwakatale alikuwa mbunge viti maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE kwa taarifa zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!