Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Makunga ajiuzulu, TEF waridhia
Habari MchanganyikoTangulizi

Makunga ajiuzulu, TEF waridhia

Spread the love

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeridhia kujiuzuru kwa Mwenyekiti wake Theophil Makunga aliyeomba kujiuzulu. Anaripoti Angel Willium … (endelea).

Makunga aliomba kujiuzulu jana Ijumaa kwa kuuandikia uongozi wa jukwaa hilo.
Kutokana na uamuzi huo wa Makunga, TEF walikutana katika mkutano wa dharura na kuridhia barua yake.

Katika ujumbe uliosambazwa na TEF na kusainiwa na Katibu wake, Neville Meena, umeeleza kujiuzulu kwa aliyekuwa mwenyekiti wake watakosa busara zake ambazo bado zilikuwa zinahitajika katika ukuaji wa taasisi hiyo.

TEF inamtakia kila la kheri Makunga katika majukumu yake mengine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

error: Content is protected !!