Wednesday , 27 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Makunga ajiuzulu, TEF waridhia
Habari MchanganyikoTangulizi

Makunga ajiuzulu, TEF waridhia

Spread the love

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeridhia kujiuzuru kwa Mwenyekiti wake Theophil Makunga aliyeomba kujiuzulu. Anaripoti Angel Willium … (endelea).

Makunga aliomba kujiuzulu jana Ijumaa kwa kuuandikia uongozi wa jukwaa hilo.
Kutokana na uamuzi huo wa Makunga, TEF walikutana katika mkutano wa dharura na kuridhia barua yake.

Katika ujumbe uliosambazwa na TEF na kusainiwa na Katibu wake, Neville Meena, umeeleza kujiuzulu kwa aliyekuwa mwenyekiti wake watakosa busara zake ambazo bado zilikuwa zinahitajika katika ukuaji wa taasisi hiyo.

TEF inamtakia kila la kheri Makunga katika majukumu yake mengine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

error: Content is protected !!