RAIS John Magufuli ametoa siku tano kwa Dk. Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii na Prof. Adolf Mkenda, Katibu Mkuu wa wizara...
By Regina MkondeDecember 31, 2019ZIITO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, yupo tayari kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). “Mimi...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2019MTINDO wa uongozi wa Rais John Magufuli, umeelezwa na viongozi wawili wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwamba umesababisha machungu kwa Watanzania. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zitto...
By Regina MkondeDecember 31, 2019VERDIANA Mjwahuzi, Mama wa Erick Kabendera, Mwanahabari aliyeko mahabusu akituhumiwa kwa kosa la uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 31, 2019Baada ya kuibuka na ushindi finyu wa bao 1-0 dhidi ya Biashara United kocha wa klabu ya Yanga Boniface Mkwasa amesema kuwa kitendo...
By Kelvin MwaipunguDecember 30, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wapo ‘mtaani’ kukusanya maoni...
By Regina MkondeDecember 30, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani, kimeitaka serikali kuubinafsisha Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam, ili kuongeza ufanisi...
By Regina MkondeDecember 30, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekula kiapo kizito kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...
By Faki SosiDecember 29, 2019AWADHI Juma, Daktari katika kituo cha afya binafsi cha Dental Clinic, kilichopo Sinza jijini Dar es Salaam na muuguzi mmoja, wamepandishwa kizimbani katika...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2019JESHI la polisi Mkoa wa Dodoma limetoa ufafanuzi juu ya kifo cha Ustadhi Rashid Ally Musa maarufu kwa jina la Rashid Ramadhani Bura...
By Danson KaijageDecember 27, 2019PINGAMIZI tatu zilizowasilishwa na Cyprian Musiba, katika kesi namba 220/2018 iliyofungliwa na Bernard Membe, zimetupiliwa mbali. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...
By Faki SosiDecember 27, 2019RAIS John Magufuli ameongeza siku siku 20 kwa usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole kama ilivyotangazwa na Mamlaka...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2019ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG), Prof. Mussa Assad, amekana madai kuwa alitekwa na genge lililopachikwa jina...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2019WAKAZI zaidi ya 300 katika Mkoa wa Dodoma wametapeliwa na Umoja wa Vikundi vya Vikoba Tanzania (VIGUTA) kwa kuwachangisha fedha kwa nia ya...
By Danson KaijageDecember 26, 2019TABIA ya utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi inayolalamikiwa nchini, imekemewa vikali na Dk. Frederick Shoo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2019MLANGO wa ajira umefunguliwa kwa vijana waliomaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), na kufanya kazi ya kujitolea kwa miaka miwili. Anaripoti Dandon...
By Danson KaijageDecember 24, 2019HATIMAYE mwanaharakati na Ofisa wa Elimu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti, Theodory Faustine, wamefunguliwa mashitaka matatu likiwemo...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2019SERIKALI imetoa onyo kutokana na kushamiri kwa vitendo vya rushwa ya ngono katika vyuo vya elimu ya juu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageDecember 24, 2019JESTER Amos Bulaya, mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), amedai mahakamani kuwa uhusiano wake na mbunge mwenzake wa Kawe, Halima James Mdee, “unafungwa na...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2019SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF$, leo imengia makubariano na Shirika la Maendeleo nchini Korea (KIDC) kwa ajili ya maendeleo ya mpira...
By Kelvin MwaipunguDecember 23, 2019LAZARO Mambosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na Profesa Adelardus Kilagi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) wamefunguliwa mashtaka kwenye...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2019KUKATIKA umeme mara kwa mara, imekuwa changamoto kubwa kwa Wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, kupata huduma ya...
By Regina MkondeDecember 23, 2019KAULI ya Prof. Abdallah Safari, kwamba Chadema hakiwezi kuingia Ikulu bila kupigania Tume Huru ya Uchaguzi, sasa imevaliwa njuga na chama hicho. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2019LICHA ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kukiri kumshikilia Tito Magoti, Ofisa Programu wa Kituo cha Sheria na Haki...
By Regina MkondeDecember 21, 2019WAKATI Tanzania ikielekea kwenye ujenzi wa uchumi wa kati, serikali imeonesha hofu juu ya kupungua kwa fedha za misaada kwa ajili ya miradi...
By Danson KaijageDecember 21, 2019IKIWA zimesalia siku kumi kwa watumiaji wasiosajili laini zao za simu kwa mfumo wa alama za vidole, kukatiwa mawasiliano, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2019WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Abednego Alfred, Muuguzi katika Kituo cha Afya cha Mamba,...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2019JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekiri kumshikilia Tito Magoti, Afisa Program wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu...
By Regina MkondeDecember 20, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amewapa ujumbe mzito, John Mnyika, Katibu Mkuu, Benson Kigaila, Naibu Katibu Mkuu Bara,...
By Regina MkondeDecember 20, 2019WAKILI Tito Magoti, mtumishi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), anadaiwa kukamatwa na watu wasiojulikana, asubuhi ya leo tarehe 20...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemteua John Mnyika, Mbunge wa Kibamba kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho na...
By Hamisi MgutaDecember 20, 2019IMBUNGE wa Chadema, katika jimbo la Ndanda, wilayani Masasi, mkoani Mtwara, Cecil David Mwambe (45), amethubutu. Amejaribu na ameweza kutenda kile kilicho washinda...
By Mwandishi MaalumDecember 19, 2019ZAIDI ya wakulima 26 wa zabibu wameilalamikia kampuni ya Dane Holdings Limited ya Nkulabi Village kwa kutowalipa fedha zao zaidi ya Sh. 200...
By Danson KaijageDecember 19, 2019JESHI la polisi nchini limesema kuwa makosa makubwa ya jinai yamepungua kwa asilimia 2.0 ambapo ni sawa na makosa 1,082 kwa kipindi cha...
By Danson KaijageDecember 19, 2019ZITTO Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Freeman Mbowe, kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Tundu Lissu kuwa...
By Faki SosiDecember 19, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ametangazwa tena kuhudumu nafasi hiyo kwa awamu nyingine. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Akitangaza...
By Hamisi MgutaDecember 19, 2019DK. Azaveli Lwaitama, Mhadhiri mstaafu, ameutumia Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutupa jiwe gizani kwa serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM)....
By Hamisi MgutaDecember 19, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (Chadema) ameibuka katika mkutano Mkuu wa chama hicho leo na kuzungumza na wajumbe...
By Faki SosiDecember 18, 2019BAADHI ya Wanasiasa na Wanaharakati wamepinga utekelezwaji wa agizo la Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, la kuwachukulia hatua viongozi wa Serikali ya...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2019RAIS John Magufuli amesema ni aibu nchi kuwa na idadi kubwa ya mahabusu, kuliko wafungwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo ameitoa...
By Regina MkondeDecember 18, 2019JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amechafua hali ya hewa katika Mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
By Hamisi MgutaDecember 18, 2019BAADHI ya Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO), wamesimamishwa masomo, kwa kosa la kutoa tamko la...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2019MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa Hali ya Hewa Hatarishi wa siku tano mfululizo, kuanzia tarehe 17 hadi 21...
By Regina MkondeDecember 17, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amewashauri viongozi wa chama hicho, waliochaguliwa katika chaguzi zilizofanyika hivi karibuni, kutokuwa wabinafsi....
By Regina MkondeDecember 17, 2019CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimekerwa na baadhi ya wanasiasa kuwawajibisha na kuwadhalilisha watumishi wa Umma. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageDecember 17, 2019PERVES Musharraf, aliyekuwa Rais wa Pakistan (76) amehukumiwa adhabu ya kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kosa la uhaini. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2019MVUA iliyoanza kunyesha mfululizo kuanzia alfajiri ya leo tarehe 17 Desemba 2019, imeleta adha kwa wakazi Jiji la Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2019BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imeahidi kutoa fedha za mikopo kwa wanafunzi waliobadilisha kozi, kesho tarehe 18 Desemba...
By Regina MkondeDecember 17, 2019MISEMO ya kuvunja moyo wanawake kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye siasa imetakiwa kupuuzwa na wanawake wenyewe huku ikiwa ni njia ya mapendo...
By Christina HauleDecember 17, 2019SAED Kubenea, Mbunge wa jimbo la Ubungo, Dar es Salaam (Chadema) amejitoa kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara. Anaripoti...
By Hamisi MgutaDecember 16, 2019