Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto awapa tano Tundu Lissu, Mbowe
Habari za Siasa

Zitto awapa tano Tundu Lissu, Mbowe

Spread the love

ZITTO Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Freeman Mbowe, kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti  wa Chadema na Tundu Lissu kuwa Makamo Mwenyekiti wa Chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Salamu hizo zilizotolewa na Ado Shaibu Katibu wa Itikadi Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa ACT-Wazalendo, zimeleza kuwa Zitto na chama chake kinakipongeza Chadema kwa kufanikiwa kufanya mkutano mkuu, sambamba na kuchagua viongozi wao. 

Zitto amewahakikishia viongozi hao kuwa chama chake kitashikirikiana na Chadema na vyama vingine vyenye dhamira ya kuitetea na kupigania demokrasia.

Chadema kinataraji kuhitimisha kikao chake leo kwa kuteua nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho sambamba na manaibu makatibu wakuu Bara na Zanzibar.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!