Sunday , 3 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto awapa tano Tundu Lissu, Mbowe
Habari za Siasa

Zitto awapa tano Tundu Lissu, Mbowe

Spread the love

ZITTO Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Freeman Mbowe, kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti  wa Chadema na Tundu Lissu kuwa Makamo Mwenyekiti wa Chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Salamu hizo zilizotolewa na Ado Shaibu Katibu wa Itikadi Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa ACT-Wazalendo, zimeleza kuwa Zitto na chama chake kinakipongeza Chadema kwa kufanikiwa kufanya mkutano mkuu, sambamba na kuchagua viongozi wao. 

Zitto amewahakikishia viongozi hao kuwa chama chake kitashikirikiana na Chadema na vyama vingine vyenye dhamira ya kuitetea na kupigania demokrasia.

Chadema kinataraji kuhitimisha kikao chake leo kwa kuteua nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho sambamba na manaibu makatibu wakuu Bara na Zanzibar.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Biteko aagiza wakurugenzi TANESCO kukemea rushwa kwenye maeneo yao

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

Spread the loveKWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

Spread the loveRAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

Spread the loveBUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa...

error: Content is protected !!