MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania wanaelezea ziara zilizofanywa na kiongozi mkuu wa Taifa hilo, Rais Samia Suluhu Hassan.
Hivi karibuni, Rais Samia alifanya ziara barani Ulaya katika mataifa ya Ufaransa, Ubelgiji na kushiriki maonesho ya Falme za Kiarabu (UAE).
Fuatilia mazungumzo haya moja kwa moja
Leave a comment