RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Alhamis tarehe 31 Machi 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Mabadiliko hayo yaliyotangazwa na Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu yameelezwa yanaanza mara moja.
Rais Samia amewahamisha wizara mawaziri watatu.
Taarifa yote ya mabadiliko hayo hii hapa;
Asante