Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanne wauawa shambulio la Urusi kituo cha matibabu Kharkiv
Kimataifa

Wanne wauawa shambulio la Urusi kituo cha matibabu Kharkiv

Spread the love

 

RAIA wanne wameuwawa Ukraine na wengine kadhaa , kujeruhiwa baada ya shambulio la Urusi kupiga kituo cha matibabu huko Khirkiv, Polisi wa eneo hilo wameripoti. Inaripoti BBC … (endelea).

Kharkiv ni jiji la pili kwa ukubwa nchini Ukraine , na liko karibu na mpaka wa Urusi upande wa Mashariki.

Leo Ijumaa asubuhi tarehe 25 machi 2022 , kulifuatia mashambuli ya mabomu kwenye miundombinu ya kiraia ambapo raia saba wamejeruhiwa na wengine wanne kufariki.

Mashambulizi hayo yalilenga kituo cha matibabu katika wilaya ya Osnovyansky ya jiji hilo.

BBC bado haijathibitisha taarifa hiyo .Vikosi vya Urusi vimekuwa vikijaribu kuizingira Kharkiv bila mafanikio.

Mwandishi wa BBC Quentin Sommervile, amesema kuwa upinzani wa Ukraine katika mji huo , umekatisha tamaa Warusi ambao wamegeukia mashambuluzi ya mizinga na kuharibu vitongoji vyote .

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!