Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa “Jeshi la Magereza haliongei lugha moja”
Habari za Siasa

“Jeshi la Magereza haliongei lugha moja”

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

KUTOKUWA na ushirikiano miongoni mwa asktrai na maafisa wa Jeshi la Mageresha kumetajwa kama kikwazo cha kupiga hatua katika maendeleo ya jeshi hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Hayo yameelezwa leo Ijumaa tarehe 25 Machi 2022 na Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizindua midadi mablimbali ya jeshi la Magereza jijini Dodoma.

“Kuna tetesi nyingi nazipata inaelekea jeshi la magereza hamuongei lugha moja au hamvuiti upande mmoja wengiune wanavuta kusini wengine wanavuta kaskazini vinginevyo mngefanya hatua kubwa ya maendeleo kuliko hapa,” amesema Rais Samia.

Amesema anazo taarifa kuwa kila mtu anamchunga mwingine kwa mabaya kwa kusubiri mwingine akosee, “dumisheni umoja na msikamano jeshi lote livute upande mmoja, mkeendela kuvuta huku na huku hamtafika mbali,” amesema .

Amewakumbusha kuwa jeshi hilo si mali yao bali ni mali ya watanzania na kwamba wao wameaminwa tu kutoa huduma kwenye jeshi hilo.

“Yule ambaye atakuwa tayari kuturudisha nyuma kwaajili ya nafsi yake nasi tutakwenda naye pamoja,” amesisitiza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!