Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Tunisia avunja Bunge
Habari Mchanganyiko

Rais Tunisia avunja Bunge

Spread the love

RAIS wa Tunisia, Kais Saied amevunja Bunge alilokuwa amelisimamisha miezi nane iliyopita kutokana na maandamano makubwa nchini humo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada mitandao… (endelea).

Hayo yamejiri wakati wabunge hao   wakikutana mtandaoni siku ya jumatano tarehe 30 Machi 2021 na kupiga kura ya kufuta amri za Rais ambazo zilimpa mamlaka kamili tangu mwaka 2021.

Hata hivyo, uamuzi umekuja baada ya Rais huyo kudai Bunge lilikuwa linaendeshwa kwa minajili ya kufanya jaribio la mapinduzi.

Ameseme Bunge lilipoteza uhalali wake na limesaliti Taifa hilo huku akisisitiza wabunge waliohusika watachukuliwa hatua.

Aidha, Rais Saied ameonya dhidi ya jaribio lolote la kuchochea machafuko na mgawanyo wa ndani.

Tarehe 25 Julai mwaka jana rais Saied alimfuta kazi aliyekuwa waziri mkuu Hichem Mechich na kusitisha shughuli zote za bunge.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!