Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Simba kupaa Marekani
Michezo

Simba kupaa Marekani

Spread the love

 

KLABU ya Simba inatarajia kuweka kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu mwaka 2021/2022 nchini Marekani kwa ushirikiano wa klabu ya DC United inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini humo (MLS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Mohamed Dewji ‘Mo Dewji’ amesema Simba itacheza mechi za kirafiki timu ya DC United pamoja na timu nyingine zinazoshiriki ligi kuu nchini humo.

“Ni furaha kukutana na Jason Levie mmiliki wa timu ya DC United yenye thamani zaidi ya dola za Marekani milioni 700,” aliandika Mo katika akaunti yake ya Twitter.

Mo Dewji amesema hayo baada ya kukutana na moja ya wamiliki wa DC United Jason Levien (kwenye picha).

Kambi hiyo itakuwa ni ya awamu ya pili baada ya Morocco ambayo Simba inaendelea kujinoa.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!