Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Nyumba 19 zateketea kwa moto Rufiji
Habari Mchanganyiko

Nyumba 19 zateketea kwa moto Rufiji

Spread the love

 

NYUMBA 19 zimeteketea kwa moto katika kitongoji cha Shaurimoyo, kijiji cha Nyamwage wilayani Rufiji mkoani Pwani baada ya mwananchi mmoja kuwasha moto kwa lengo la kusafisha shamba lake. Anaripoti Helena Mkonyi, TUDARCo … (endelea).

Tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia leo Agosti 30, limethibitishwa na Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge.

Kunenge ambaye aliambatana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Rufiji wamefika kwenye eneo la tukio na kufafanua kuwa mbali na makazi ya wanakijiji kuharibiwa hakuna mwananchi aliyepoteza maisha kutokanaa na moto huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!