Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uganda walegeza masharti ya Corona
Kimataifa

Uganda walegeza masharti ya Corona

Yoweri Museveni
Spread the love

 

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni imetangaza kulegeza masharti dhidi ya janga la maambukizi ya Uviko-19 ambapo nyumba za ibada zitafunguliwa huku idadi ya watu watakaokuwa wakihudhuria sherehe mbalimbali hawatozidi 200. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo … (endelea).

Rais Museveni ametangaza kulegezwa kwa masharti hayo huku taifa hilo likiendeleza mapambano jitihada dhidi ya janga hilo hatari duniani.

Pamoja na masharti hayo kulegezwa lakini taasisi za elimu bado hazitafunguliwa huku Serikali ikitarajiwa kuwapa chanjo watu milioni 4.8 kabla ya shule na vyuo kufunguliwa.

Ifikapo tarehe 1 Novemba, 2021 vyuo na taasisi zingine za elimu ya juu zinatarajia kufunguliwa, lakini sekta ya elimu itafunguliwa rasmi Januari 2022.

Aidha, Rais Museveni amesema kuna dozi za chanjo ya Uviko-19 nchini humo milioni 2.2 na wastani wa dozi milioni 10 zaidi zinatarajiwa kuwasili miezi ijayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!