Tuesday , 21 May 2024

Month: September 2021

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ambana Majaliwa bungeni kuhusu UVIKO-19

  MBUNGE viti maalum (asiye na chama bungeni), Halima Mdee, amehoji mikakati ya ziada ya Serikali katika kukabiliana na Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Tanzania: Hamza alikuwa gaidi, hakuwa na fedha

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema, Hamza Mohamed aliyewaua askari polisi watatu na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA kisha kuuawa, alikuwa...

Michezo

Mshindi Miss East Africa kujinyakulia gari la milioni 110

  MSHINDI wa mashindano ya Miss East Africa 2021, anatarajia kujinyakulia gari jipya aina ya Nissan x Trail, toleo la mwaka 2021 lenye...

Michezo

Taifa Star dimbani leo kumenyana na DRC

  TIMU ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo tarehe 2, Septemba inashuka dimbani katika Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi katika Jamhuri...

Michezo

Lil Baby kumsaidia Jack Boy ujenzi wa hospitali Haiti

  RAPA kutoka Marekani, Dominique Jones ‘Lil Baby’ amejitolea kumsaidia Msanii Pierre Delince (Jack Boy) katika ujenzi wa hospitali huko nchini Haiti. Anaripoti...

HabariTangulizi

Rais Samia: Tozo za Sept, Oktoba kujenga madarasa 500

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, tozo zitakazotozwa katika miamala ya simu Septemba na Oktoba 2021, zitakwenda kujenga vyumba vya madarasa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima akwepa swali la Rais Samia

  Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM) amekwepa kujibu swali la Rais Samia Suluhu Hassan kwamba atachaja au hachanji chajo ya Corona...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na Angela Merkel, aahidi kutoa chanjo ya corona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo kwa simu na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Bei mpya za mafuta zapigwa ‘stop’ Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kusitisha bei mpya za mafuta zilizokuwa zianze kutumika leo Jumatano, tarehe 1 Septemba 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Elimu

Wanafunzi elimu ya juu wapewa wiki mbili kukamilisha maombi ya mkopo

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa wiki mbili kwa wanafunzi ambao hawajakamilisha maombi ya mkopo...

Tangulizi

Waandishi 59 wapenya tuzo za EJAT 2020

  KAMATI ya maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) imesema jumla ya waandishi 59 wameteuliwa kuwania tuzo hizo...

Kimataifa

Mke wa mtu sumu… denti afumaniwa, auawa

  MWANAFUNZI mmoja wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kapsumbeiywo, huko Kuresoi Kusini, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya ameuawa baada...

Kimataifa

Cheki Naibu Rais alivyowakaribisha walinzi wapya… wanywa chai pamoja

  NAIBU Rais wa Kenya, William Ruto amefanya mkutano na maofisa wapya wa ulinzi kutoka kitengo cha utawala nchini humo ambao amepewa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake, wazidi kuikomalia serikali

KESI ya ugaidi, inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, imepangwa kusikiliza Ijumaa wiki hii. Anaripoti...

Makala & Uchambuzi

Kesi ya Mbowe ni ya kubumba?

  HATI ya mashitaka – Charge Sheet – yaweza kukosa uhalali wa kisheria, ikiwa Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai nchini (DPP), atashidwa kuandaa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Watanzania wawili mbaroni kwa kumtumia mlemavu kuombaomba Nairobi

  WATANZANIA wawili wamepandishwa kizimbani kwa wakikabiliwa na mashtaka ya kumtumia mlemavu kujitajirisha kupitia kwa kuombaomba katika barabara za jijini Nairobi nchini Kenya....

Habari za Siasa

Bilioni 63 zakusanywa tozo miamala ya simu

  SERIKALI imesema tangu tozo za miamala ya simu ianze kukusanywa tayari zimepatikana Sh. 63 bilioni hadi kufiki tarehe 30 Agosti, mwaka huu....

Habari za SiasaTangulizi

Mwigulu: Wamiliki wa nyumba msihamishie mzigo kwa wapangaji

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amewataka wamiliki nyumbaamewataka wasihamishie mzigo wa kodi ya majengo kwa wapangaji na badala yake...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi la Mbowe, wenzake katika kesi ya ugaidi lagonga mwamba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam,  imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Michezo

Samatta arudi tena Ubelgiji, aitosa Genk

  MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amerejea tena katika Ligi kuu ya Ubelgiji baada ya jana tarehe 31 Agosti, 2021 kusajiliwa...

error: Content is protected !!