Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mke wa mtu sumu… denti afumaniwa, auawa
Kimataifa

Mke wa mtu sumu… denti afumaniwa, auawa

Spread the love

 

MWANAFUNZI mmoja wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kapsumbeiywo, huko Kuresoi Kusini, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya ameuawa baada ya kufumwa na mke wa mtu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwanafunzi huyo aliyefahamika kwa jina la Edmond Kipng’etich (19) aliyefumaniwa na Mume (35) wa mwanamke huyo,M aliuawa kwa kukatwakatwa vipande kwa panga.

Akithibitisha kisa hicho, Ofisa Upepelezi wa makosa ya jina katika wilaya hiyo ya Kuresoi, Peter Obonyo alisema mwanafunzi huyo alifariki dunia akipatiwa matibabu katika hospitali ya Nakuru Level Five.

Alisema tayari polisi wameanzisha msako dhidi ya mshukiwa huyo aliyefahamika kwa jina la Japheth Bii ambaye anasemekana aliingia mitini baada ya kutekeleza mauaji hayo ya kinyama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!