Monday , 3 June 2024

Month: September 2021

Habari Mchanganyiko

Wizara, taasisi zaagizwa kujiunga huduma pamoja

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo hazijaanza kutoa huduma kupitia vituo vya huduma pamoja vya Shirika la...

Michezo

Stars kucheza bila mashabiki, Nyoni atoa neno

  TIMU ya Taifa ya Tannzania Taifa Stars italazimika kucheza bila mashabiki kwenye mchezo wao wa pili wa kufuzu fainali kombe la Dunia,...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo alalamikia tozo, akumbuka upinzani bungeni

  MJADALA juu ya tozo mbalimbali zilizoanzishwa na serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kupeleka maendeleo ya...

Kimataifa

Jacob Zuma aachiliwa kwa dhamana

  RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameachiliwa kwa dhamana katika gereza la Estcourt mashariki mwa nchi hiyo kutokana na sababu...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Mutungi, kuwakutanisha IGP Siro na viongozi wa vyama vya siasa

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, ameitisha mkutano wa pamoja kati ya viongozi wakuu wa vyama vya siasa...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji anayesikiliza kesi ya kina Mbowe ajitoa, kisa…

  JAJI Elinaza Luvanda, aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Michezo

Mdhamini Ligi Kuu bado kitendawili,

  ZIKIWA zimebaki siku 23 kabla ya Ligi Kuu Tanzana Bara kuanza kutimua vumbi kwa msimu mpya wa 2021/22, mpaka sasa mdhamini mpya...

MichezoTangulizi

Mechi ya kombe la dunia yaahirishwa Guinea

  MPAMBANO wa soka wa kufuzu kwa kombe la dunia, kati ya timu ya taifa ya Guinea na Morocco, uliokuwa umepangwa kufanyika jana...

KimataifaTangulizi

Mapinduzi Guinea: Rais akamatwa na waasi

  ALPHA Condé, Rais wa Jamhuri ya Guinea, amekamatwa na jeshi linalodai limechukua madaraka ya kuongoza taifa hilo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …...

Michezo

Mahaba ya Nandy, Billnass usipime…mashabiki walipuka

  NANI alikuambia wameachana? Hawajaachana ng’o! ndivyo walivyowathibitishia mashabiki wao wasanii wa Bongofleva, Faustina Mfinanga ‘Nandy’ na William Lyimo ‘Billnass’ waliposhusha shoo kali...

Kimataifa

Polisi washambulia gereza, wamtorosha kamanda wao aliyekamatwa

  POLISI wa kupambana na ugaidi nchini Mali wamelalamikiwa baada ya maofisa wenye silaha kuandamana kwenda gerezani kushinikiza kamanda wao aachiliwe huru. Inaripoti...

Michezo

Jesse Lingard agoma kurejea Machester United

  KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya West Ham ameueleza uongozi wa klabu hiyo inayoshiriki Ligu kuu ya England kwamba hana mpango wa kurejea...

Michezo

Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei

  MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema licha ya kwamba jezi za Simba ni nzuri ila za Yanga ni kiboko. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yalifungia Raia Mwema siku 30

  SERIKALI ya Tanzania imesitisha leseni ya Gazeti la Raia Mwema, kwa muda wa siku 30 kuanzia kesho tarehe 6 Septemba 2021. Anaripoti...

Afya

DC Korogwe aibua mazito sakata la daktari aliyefumua mshono wa mgonjwa

  MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi amesema anachelea kuamini taarifa iliyotolewa na wizara ya afya kuhusu tukio la daktari aliyemfumua mshono...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aeleza madhumuni kugeukia ‘Tour guide’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema madhumuni makubwa ya mzunguko anaoufanya kwenye vituo vya utalii na rasilimali nyingine za Tanzania, ni kuionesha dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ajibu mapigo ya kamati ya Bunge

  MBUNGE wa Kawe mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amewaeleza waumini wake wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, kwamba yeye...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Tumsapoti Rais Samia

  ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewaomba Watanzania wamuunge mkono Rais Samia Suluhu Hassan, katika mkakati wake wa kutangaza...

MichezoNgumi

Ujumbe wa Mwanyiko kwa mashabiki

  HASSAN Mwakinyo, Bondia wa wa Tanzania, ametoa shukuran kwa watu mbalimbali kwa ushirikiano ambao wamemuonesha katika maandalizi ya pambano lake na Julius...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa milioni 500 ujenzi wa kituo cha afya Narungombe

  Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameshirikiana na wananchi kusafisha eneo ambalo litajengwa kituo cha Afya Katika kata ya Narungombe, Ruangwa mkoani...

Habari Mchanganyiko

Aweso atoa maagizo kwa watalamu wizara ya maji

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amekagua mtambo mkubwa wa kuchuja maji chumvi katika eneo la Serengeti, Wilaya ya Gairo mkoani...

Michezo

Simba yaahirisha kuzindua jezi

  MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam, imetangaza kuahirisha shughuli ya uzinduzi rasmi wa jezi...

Burudika

Naddy kuwapandisha jukwaani wasanii Dar

MSANII wa muziki wa bongo fleva Nandela Charles Mfinanga maarufu Nandy leo Jumamosi tarehe 4 Septemba 2021 anahitimisha kilele cha tamasha lake ‘Nandy...

Habari Mchanganyiko

Vijana Tanzania watakiwa kuchangamkia fursa za tehama

  WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini Tanzania, imewataka vijana kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwa maslahi mapana ya nchi...

MichezoTangulizi

Ndemla atua Mtibwa, Shikalo akitambulishwa KMC

  MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtoa kwa mkopo wa mwaka mmoja...

ElimuHabari Mchanganyiko

Serikali, Huawei Kuwaendeleza Wanawake Sekta Ya TEHAMA

SERIKALI imeahidi  kushirikiana na kuunga mkono  jitihada za kampuni ya Mawasiliano ya Huawei katika kuweka mkazo zaidi  na kuwaendeleza wanawake katika sekta ya...

Habari Mchanganyiko

TRA kutumia uwajibikaji, uadilifu kutimiza malengo 2021/22

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema ili kuhahakikisha inafikia lengo la kukusanya zaidi ya Sh.22.18 trilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022 watazingatia,...

Habari

WLC kumuokoa mfanyabiashara na korona

  KAMPUNI ya Usafirishaji ya World Logistics (WLC), imeanzisha huduma mpya ya kuagiza na kufikishia bidhaa kwa mteja (Corgo Pickup & Delivery Services),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya Polisi sakata la Hamza, yaibua maswali magumu

  RIPOTI ya awali ya uchunguzi wa tukio la mauaji ya maofisa watatu wa jeshi la Polisi nchini Tanzania, mlinzi mmoja wa kampuni...

Habari Mchanganyiko

Askari magereza mbaroni tuhuma za kubaka, kujiua

  JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Said Hassan Said (26) ambaye ni askari Magereza, Mkazi...

Tangulizi

Mbivu, mbichi kesi ya Mbowe Jumatatu ijayo

  HATMA ya kusikilizwa ama kutosikilizwa  kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi iliyoko katika Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari za Siasa

Wabunge waibana Serikali ahadi za Magufuli

  SERIKALI imesema itatekeleza ahadi zote zilizotolewa na Rais wa awamu ya tano hayati Dk. John  Magufuli  ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara...

Elimu

Nape: Serikali itoe mikopo kwa wanafunzi kidato cha tano, sita

  MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameitaka Serikali kutoa mikopo kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita kama ilivyo kwa wanafunzi...

Michezo

Simba wazindua jezi zao mpya

  KLABU ya soka ya Simba imetangaza kuwa leo tarehe 3 Septemba 2021 jezi zake zitakazotumika katika msimu ujao wa mwaka 2021/2022 zitaanza...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi 7,000 GGML waipaisha Geita 

ZAIDI ya wafanyakazi 7,000 walioajiriwa kwenye kampuni ya uchimbaji wa madini Geita (GGML) wameupaisha mkoa wa Geita baada ya michango yao katika michahara...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaunguruma Mahakama ya ufisadi 

  KESI ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, inaendelea kusikilizwa...

AfyaTangulizi

Johnson & Johnson wasitisha majaribio chanjo ya VVU Barani Afrika

  KAMPUNI ya Johnson & Johnson kutoka nchini Marekani imesitisha majaribio ya chanjo ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) Barani Afrika baada ya chanjo...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa Mawakili wanawake kushiriki kesi za kimkakati

  MAWAKILI wanawake 40 kutoka mikoa mbalimbali nchini, wamepewa mafunzo ya kuendesha kesi zenye maslahi ya umma ‘kesi zakimkakati’ na Mtandao wa Watetezi...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Silaa na Polepole wafika kuhojiwa CCM

  WABUNGE wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima wa Kawe, Jerry Silaa wa Ukonga na Humphrey Polepole...

Michezo

Harmonize, Ibraah kuwasha moto Marekani

  MKURUGENZI wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ hivi karibuni aliweka ratiba ya shoo zake nyingi za nchini Marekani, Bara la...

AfyaKimataifa

Kirusi kipya cha Corona chatikisa, chadaiwa kuishinda nguvu chanjo

  KIRUSI kipya cha Corona kilichopewa jina la ‘Mu’ au  B.1.621 kimeanza kutikisa nchi kadhaa za Bara la Amerika kusini na Ulaya huku...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuwahoji Askofu Gwajima, Polepole na Silaa

  WABUNGE watatu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), watawekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Maadili ya chama hicho, juu ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafungua milango utafiti wa DNA kwa makabila Tanzania

  SERIKALI imesema ipo tayari kushirikiana na watafiti kufanya utafiti wa vinasaba kwa makabila mbalimbali nchini ili kurahisisha upatikanaji wa matibabu ya magonjwa...

MichezoTangulizi

Stars yatoshana nguvu na Congo

  SARE ya bao 1-1, ilitosha kuifanya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuondoka na pointi moja kwenye mchezo wa kusaka tiketi...

Habari za Siasa

Mkurugenzi Temeke aanza kiguu na njia mahakamani

  UPELELEZI katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke (DED), mkoani Dar es Salaam, Lusubilo Mwakabibi na Mratibu...

Habari za Siasa

Dk. Samizi akumbusha ahadi ya Hayati Magufuli bungeni

  MBUNGE wa Muhambwe mkoani Kigoma (CCM), Dk. Florence Samizi, ameihoji Serikali lini itatekeleza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya, cha Kata...

Habari za Siasa

Mafao ya wastaafu, vitambulisho vya NIDA vyaibuliwa bungeni

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamehoji mikakati ya Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji wa mafao ya wastaafu...

Habari Mchanganyiko

Mto Msimbazi Dar kuanza kujengwa Julai 2022

  SERIKALI ya Tanzania imesema, mradi wa ujenzi wa Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam unatarajia kuanza Julai 2022. Anaripoti Helena Mkonyi, (TUDARCo)...

Michezo

Mtifuano kufuzu fainali kombe la Dunia

  Kuelekea hufuzu kwa fainali la kombe la dunia litakalofanyika nchini Qatar 2022, michezo mbalimbali jana ilipigwa ulimwenguni kote kwa mataifa mbali mbali...

ElimuTangulizi

Mkakati mpya wanafunzi wanaopata ujauzito kurejea shule

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mkakati mpya kwa wanafunzi waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kuwawezesha kuwaendelea kimasomo. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo … (endelea)....

error: Content is protected !!