Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Maisha Burudika Naddy kuwapandisha jukwaani wasanii Dar
Burudika

Naddy kuwapandisha jukwaani wasanii Dar

Spread the love

MSANII wa muziki wa bongo fleva Nandela Charles Mfinanga maarufu Nandy leo Jumamosi tarehe 4 Septemba 2021 anahitimisha kilele cha tamasha lake ‘Nandy Festival. Anaripoti Matilda Peter… (endelea)

Tamasha hilo lililoanzia Mkoa wa Kigoma tarehe 6 Juni 2021, litahitimishwa katika viwanja vya Posta, Kijitonyama mkoani Dar es Salaam na kuwakutanisha wasanii mbalimbali nchini humo.

Miongoni mwa mikoa aliyopita; ni Mwanza, Arusha, Mtwara, Dodoma na Zanzibar ambako kila alikopita alikonga nyonyo za mashabiki zake akiwa na wasanii kama Alikiba, Lina Sanga, Babalevo, Mr blue, Fid q na Whozu.

Wasanii mbalimbali wa watahitimisha kilele hicho leo Jumapili akiwemo Willy Paul kutokea nchini Kenya.

Kutoka Tanzania, watakaopanda jukwaani; ni Baba levo, Young lunya, Juma Nature, Rosa ree, Linah Sanga, Whozu, Dullah Makabila, Sholomwamba, Weusi, Saraphina, Mabantu na Juma Jux.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Burudika

Piga makofi kwa Mr. Eazi …achomoka na ‘The Evil Genius’

Spread the loveMAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia...

Burudika

Kishindo cha Afro B katika “Wo wo wo” akiwa na Rich the Kid&Rimzee

Spread the loveSTAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B,...

Burudika

Mr. Eazi aachia Advice ikiwa ni ujio wa albam mpya

Spread the loveSTAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr.Eazi ni gwiji linapokuja suala...

error: Content is protected !!