Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Harmonize, Ibraah kuwasha moto Marekani
Michezo

Harmonize, Ibraah kuwasha moto Marekani

Spread the love

 

MKURUGENZI wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ hivi karibuni aliweka ratiba ya shoo zake nyingi za nchini Marekani, Bara la Ulaya na Afrika na hatimaye alfajiri ya leo tarehe 3 Septemba 2021 ameondoka Bongo kibabe akiwa na timu yake. Anaripoti Noela Shila, TUDARCo … (endelea).

Katika safari hiyo, Harmonize aliyeambatana na msanii wake Ibraah wameahidi kwenda kuitikisa Marekani.

Mbali na Ibraah, pia Harmonize ameambatana na meneja wake, Mjerumani na DJ wake, DJ Seven, tayari kabisa kwa ajili ya kwenda kukiwasha kwenye ziara hiyo ndefu.

Harmonize atafanya shoo Ohio, Huston, Phoenex, Las Vegas, New York, Edmondton, Los Angeles, Atlanta, Denmark, Swiden, Sierra Leone na kwingineko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!