Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei
Michezo

Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei

Spread the love

 

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema licha ya kwamba jezi za Simba ni nzuri ila za Yanga ni kiboko. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam… (endelea). 

Aidha, Mwegelo amempongeza mfanyabiashara Fred Ngajiro ‘Vunjabei’ ambaye ana zabuni ya kutengeneza na kusambaza jezi Simba kwa kazi nzuri aliyoifanya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwegelo amesema kati ya vitu vinavyotoa hamasa kwa vijana ni pale kijana anapoaminiwa na kufanya vyema.

“Leo nimeona nikampongeze @fred_vunjabei kwa kazi nzuri aliyoifanya na kutupa heshima kubwa vijana wa Kitanzania kwamba tunaweza.

“Rai yangu kwa vijana wote ukiaminiwa onesha uwezo .Kweli uzi ni mkali Ila wa Jangwani kiboko yao,’ ameandika Mwegelo kisha Vunjabei akajibu;

“Asante rafiki angu mkyuti, Simu yangu ni moja tu siku ya Simba day tunaomba ulinzi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!