Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga warejea kimyakimya
Michezo

Yanga warejea kimyakimya

Spread the love

 

KLABU ya Yanga imerejea nchini usiku wa kuamkia leo ikitokea Nigeria ilikokwenda kupepetana na River United ikiwa ni mchezo wa marudiano wa kombe la klabu bingwa Afrika. Anaripoti Mintanga Hunda TUDARCo … (endelea).

Yanga imerejea huku ikiwa imepoteza mchezo wake huo wa jana na kutupwa nje ya mashindano hayo ya kimataifa.

Ikumbukwe kwenye mchezo wa awali uliochezwa Dar es salaam Yanga ilifungwa bao 1-0 na kutolewa nje ya mashindano kwa jumla ya idadi ya magoli 2-0.

Uongozi wa klabu hiyo umetoa malalamiko mbalimbali juu ya vitendo walivyofanyiwa na uongozi wa Rivers United pamoja na kucheleweshewa majibu ya vipimo vya Covid 19 ambayo pia yalionesha wachezaji kadhaa wa Yanga wanamaambukizi.

Baada ya kurejea, Yanga sasa wanajipanga kupepetana na watani wao wa jadi – Simba kwenye mchezo wa ngao ya jamii ambao utafanyika tarehe 25 Septemba 2021 katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!