Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Tangulizi Rais Samia ampa siku 90 DED Karatu
Tangulizi

Rais Samia ampa siku 90 DED Karatu

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempa miezi mitatu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha (DED), Karia Rajabu, kuhakikisha ujenzi wa Hospitali ya wilaya hiyo uwe umekamilika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea).

Rais Samia ametoa agizo hilo leo Jumapili, tarehe 17 Oktoba 2021, akizungumza na wananchi wa Jiji la Arusha, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Kiongozi huyo wa Tanzania, ametoa agizo hilo baada ya ujenzi wa hospitali hiyo ulioanza 2019 kukwama, licha ya Serikali kutoa fedha zote.

“Karatu kuna hospitali ya wilaya ambayo imeanza kujengwa tangu 2019, fedha zote zimetolewa hospitali haijaisha, mkurugenzi wa Karatu nakupa meizi mitatu sababu fedha yote unayo sioni kwa nini hospitali haijaisha,” amesema Rais Samia na kuongeza:

“Mwaka wa pili sasa kinachoendlea pale ni uzembe au kuvutana, nakupa miezi mitatu hospitali iwe imemalizika, nifungue wananchi wapate huduma.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

error: Content is protected !!