BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) mwaka 2021.
Akitangaza matokeo hayo leo Oktoba 30, 2021, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde amesema kuwa mkoa wa Dar es Salaam umefanya vizuri zaidi katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2021, ikifuatiwa na mikoa ya Iringa na Mbeya.
Mkoa wa Simiyu
ojexmizimu@gmail.com
Hongela sana wanafunzi walio faulu kwenda kidato cha kwanza wamejitahd mungu awabariki sana waweze kusonga mbele
hongera Sana kwa waliofaulu lakini pia waliofeli waskate tamaa warudie wajiandae vizuri watafaul nawatakia kila la kheli
Hongeren mliofaulu mungu awatetee muendelee mbele zaidi
Leah wila
laroi
Wamejitaidi sana darasa la saba wa komae sekondal
Ashili juma mataka