Wednesday , 22 May 2024

Month: November 2021

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu mgeni rasmi maadhimisho miaka 10 ya LSF

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika madhimisho ya miaka 10 ya Shirika la Legal Services Facility (LSF) yanayotarajiwa kufanyika tarehe...

MichezoTangulizi

Majaliwa achangisha bilioni 1.6 za Taifa Stars

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania pamoja na wadau wa soka nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha timu...

Habari Mchanganyiko

Wanawake 2000 wapatiwa msaada kutatua migogoro ya ardhi

MWAKA 2018 LSF ilizindua mpango wake wa uwezeshaji wa wanawake waishio mijini ili wapate uelewa wa kisheria kuhusu masuala ya haki za mazingira,...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu Katoliki wapata ajali Chato

  MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu la Tabora na Severin Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge-Ngara mkoani Kagera,...

Habari za Siasa

Mwigulu ataja mabilionea 5000 wa Tanzania, Msukuma yumo

  WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania ina jumla ya mabilionea 5,740 sawa na asilimia 4.2 ya utajiri katika...

AfyaElimu

Mitihani ya utabibu iliyovuja kurudiwa, waliovujisha kikaangoni

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limeagiza kurudiwa upya kwa mitihani iliyovuja ya utabibu ndani ya wiki sita kuanzia tarehe...

Habari za Siasa

Rais Samia arejea Tanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Alhamisi, tarehe 4 Novemba 2021, amerejea nchini mwake akitokea Glasgow, Scotland, alikokwenda kuhudhuria Mkutano wa...

Habari za Siasa

Mdee aibua sakata la machinga bungeni, serikali yajibu

  SAKATA la kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ katika maeneo yasiyoruhusiwa nchi nzima, limetua bungeni kwa Mbunge wa Viti Maalum (asiye na chama), Halima...

Habari Mchanganyiko

Serikali Yapongeza Jitihada Za Shirika la Bima Zanzibar Kuboresha Upatikanaji Huduma

  KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Dk. Juma Malik Akili amepongeza jitihada zinazoendelea kufanywa na Shirika la Bima Zanzibar (ZIC)...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenzake Mbowe adaiwa kukutwa na silaha isiyosajiliwa

  MRAJISI wa leseni za bunduki kutoka Jeshi la Polisi, Kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kitengo cha Udhibiti na Usajiliwa Silaha...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupilia mbali ombi la kina Mbowe kumkataa shahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na upande wa utetezi,...

KimataifaMichezo

Bondia afariki kwa kushushiwa makonde ulingoni

  MASWALI yameibuka kuhusu usalama wa mchezo wa masumbwi nchini Zimbabwe baada ya Bondia mmoja chipukizi mwenye umri wa miaka 24 kupoteza maisha...

Habari Mchanganyiko

TAWA yawataka wawekezaji kuchangamkia fursa utalii

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imetoa wito kwa wadau wa utalii kuwekeza katika maeneo ya vitalu 12 vya uwekezaji maalumu...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mvutano waibuka kuhusu shahidi, Jaji aiahirisha

  MVUTANO umeibuka baina ya mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mrajisi leseni za bunduki aanza kutoa ushahidi

  ASKARI Polisi, SSP Sebastian Madembwe (46), ambaye ni Mrajisi wa leseni za bunduki wa Jeshi la Polisi anatoa ushahidi wake katika kesi...

Kimataifa

Taliban wapiga marufuku fedha za kigeni Afghanistan

  Kundi la Taliban limetangaza kupiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni nchini Afghanistan hatua ambayo inazidi kuongeza mdororo wa uchumi nchini humo...

Habari

Waziri Mkuu Ethiopia atangaza hali ya hatari

  WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametangaza hali ya hatari katika maeneo yote ya nchi hiyo baada ya waasi wanaopambana na wanajeshi...

Michezo

CAF waiondoa Biashara United kombe la Shirikisho

  MARA baada ya kushindwa kwenda kucheza mchezo wa marudiano nchini Libya dhidi ya Al Ahly Tripol, kamati ya mashindano ya Shirikisho la...

Makala & Uchambuzi

LSF ulivyopunguza msongamano magerezani, 35,000 wapata msaada wa kisheria

  UPATIKANAJI wa haki kwa wote ni jambo linalotarajiwa na kila mtu bila kujali mazingira aliyopo kwa wakati huo. Ndio maana hakuna mtu...

Michezo

Simba kuwakosa wanne leo dhidi ya Namungo FC

  KLABU ya soka ya Simba itakosa huduma ya wachezaji wake wanne, ambao wanakabiliwa na majeraha kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...

Habari za Siasa

Rais Samia amwandikia ujumbe Rais Mwinyi

  JANA Jumanne, tarehe 2 Novemba 2021, Dk. Hussein Ali Mwinyi alitimiza mwaka mmoja tangu alipoapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar. Anaripoti...

HabariTangulizi

Shahidi augua, kesi ya Mbowe yaahirishwa

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

Michezo

Yanga yajikita kileleni, yampiga Ruvu tatu

   USHINDI wa mabao 3-1, dhidi ya Ruvu Shooting umzidi kuifanya klabu ya Yanga, kujichimbia kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia afanye uteuzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Profesa Maulid Mwatawala kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Athari za mabadiliko ya tabianchi hazichagui tajiri wala maskini

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema athari za mabadiliko ya tabianchi hazichagui nchi tajiri wala maskini hivyo kuna umuhimu kwa mataifa yote duniani kuwa...

Habari za Siasa

Rais Samia kufungua mkutano wa kumbukumbu ya Maalim Seif

  RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa kumbukumbu ya Maalis Seif Sharif Hamad unaotarajiwa kufanyika kwa...

Michezo

Conte amrithi Nuno Spurs

  ANTONIO Conte, kocha raia wa Itary aemeingia kandarasi ya miaka miwili kukinoa kikosi cha Tottenham Hotspurs inayoshiriki Ligi Kuu nchini England mara...

Tangulizi

Spika Ndugai: Waiteni NIDA… kuna hela zimeliwa

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano nwa Tanzania, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje kuwaita viongozi wa...

Habari Mchanganyiko

RC Mbeya akoshwa na jitihada za Benki ya Exim kuwahudumia wafanyabiashara

  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Zuberi Homera  ameonyesha kuridhishwa na huduma pamoja na jitihada za Benki ya Exim katika kuwahudumia wafanyabiashara...

Habari za SiasaTangulizi

Kampuni ya Tigo yaelezea miamala aliyoifanya Mbowe

FREDY KAPARA (38), shahidi wa tano upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za Siasa

Spika ang’aka kukatika kwa umeme, atoa maagizo

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kukaa na wizara ya nishati ili kupata ufafanuzi unaoridhisha...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa bilioni 9.2 kutekeleza Mpango wa Uwajibika kwa Jamii

Kampuni ya Anglogold Ashanti – Geita Gold Mining Limited(GGML) na Halmashauri ya Mji Geita na halmashauri ya Wilaya ya Geita,zimetiliana saini Mkataba wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia afanya uteuzi akiwa Scotland

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Nicolaus Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Bunge kuanza kesho, fedha za Corona kutikisa

  MKUTANO wa Tano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unatarajiwa kuanza kesho tarehe 2 Novemba, mwaka 2021 huku matumizi ya...

Habari Mchanganyiko

Taharuki ajali Mbezi Mwisho, mama muuza mihogo adaiwa kufariki, dereva ala kichapo

  TAHARUKI imeibuka katika mitaa ya Mbezi – Mwisho baada ya daladala aina ya Coaster inayofanya safari zake Mbezi – Mkata kumgonga mama...

Habari za SiasaTangulizi

‘Babu Duni’ ajitosa kumrithi Maalim Seif -ACT- Wazalendo

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazaendo – Zanzibar, Juma Duni Haji maarufu kama ‘Babu Duni’ amejiuzulu wadhifa wake ndani ya chama...

Habari za SiasaTangulizi

Saini ya shahidi yaibua mvutano kesi ya Mbowe, yaahairishwa

  USAHIHI wa saini ya shahidi wa nne wa Jamhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri asimulia wenzie Mbowe walivyokamatwa 

  SHAHIDI wa nne wa Jumhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, Rau Madukani mkoani Kilimanjaro ameelezea jinsi Adam Kasekwa na...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua bima ya wavuvi, Waziri Ndaki atoa wito

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka wavuvi nchini kuchangamkia bima maalum ijulikanayo kama Jahazi, ili iwasaidie kuwakinga wanapokumbwa na majanga mbalimbali....

Habari Mchanganyiko

Megawati 700 za nishati jadidifu kuzalishwa 2024

  KATIKA kukabiliana na changamoto ya umeme nchini Serikali imesema itashirikiana na wawekezaji kuzalisha megawati 700 za nishati jadidifu ifikapo mwaka 2024. Anaripoti...

Habari za Siasa

Maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru yaja kivingine

  SERIKALI ya awamu ya sita imekuja na mbinu mpya ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika baadaye Tanzania....

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na mjumbe maalum wa waziri mkuu Uingereza

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Boris Jonson, Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya...

error: Content is protected !!