SAKATA la kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ katika maeneo yasiyoruhusiwa nchi nzima, limetua bungeni kwa Mbunge wa Viti Maalum (asiye na chama), Halima Mdee kutaka maelezo ya Serikali ilivyojipanga kuwasaidia ili waweze kufikia ubilionea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Ni leo Alhamisi, tarehe 4 Novemba 2021, wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma ambapo Mdee aliyefukuzwa Chadema, alipopewa fursa na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuulizwa swali la nyongeza, akagusia suala hilo.
Mara baada ya kuuliza, Dk. Tulia alimwita Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba aweze kulitolea majibu.
Fuatilia video hii, ujionee swali la Mdee pamoja na majibu ya Waziri Mwigulu.
TUNAHITAJI JIJI LIWE SAFI KUWEKA HESHIMA YA JIJI SIO TUU KWA SABABU WALIMPIGIA KURA MAGU WAENDE CHATO ALIPO.
Asante ndugu.mwiguru
Tunahiji dsm safi hatuhitaj wafanya biashara wadogo wadogo wenye kupangwa and wakapangika na wenye kuishimu mamlaka