Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mdee aibua sakata la machinga bungeni, serikali yajibu
Habari za Siasa

Mdee aibua sakata la machinga bungeni, serikali yajibu

Spread the love

 

SAKATA la kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ katika maeneo yasiyoruhusiwa nchi nzima, limetua bungeni kwa Mbunge wa Viti Maalum (asiye na chama), Halima Mdee kutaka maelezo ya Serikali ilivyojipanga kuwasaidia ili waweze kufikia ubilionea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Ni leo Alhamisi, tarehe 4 Novemba 2021, wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma ambapo Mdee aliyefukuzwa Chadema, alipopewa fursa na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuulizwa swali la nyongeza, akagusia suala hilo.

Mara baada ya kuuliza, Dk. Tulia alimwita Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba aweze kulitolea majibu.

Fuatilia video hii, ujionee swali la Mdee pamoja na majibu ya Waziri Mwigulu.

3 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!