Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kisa katiba mpya: CUF kushitaki Serikali ya Kikwete
Habari za Siasa

Kisa katiba mpya: CUF kushitaki Serikali ya Kikwete

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (kulia), akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba
Spread the love

 

JUMUIYA ya Vijana Chama cha Wananchi (JUVICUF), inajiandaa kuifungulia kesi Serikali ya awamu ya nne nchini Tanzania kwa madai ya kusababishia nchi hasara ya mabilioni ya fedha kwa kushindikana kupatikana kwa Katiba mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Serikali ya awamu ya nne kati yam waka 2005 hadi 2015 ilikuwa inaongozwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambapo mwaka 2012, aliruhusu mchakato wa Katiba mpya kuanza baada ya madai ya muda mrefu kutoka kwa wananchi.

JUVICUF inaibuka na hoja hiyo ikiwa ni miaka michache kupita baada ya Mwandishi wa Habari Nguli na Wakili, Jenerali Ulimwengu katika kongamano la Kigoda cha Mwalimu Nyerere Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kuongozwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu, Hayati Benjamin Mkapa, kusema Rais Kikwete anapaswa kushitakiwa.

Soma undani wa habari hii katika Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Ijumaa tarehe 19 Novemba 2021 kujua zaidi malengo ya JUVICUF.

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Alichokisema Rais Samia baada ya kupokea ripoti ya CAG, TAKUKURU

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

Habari za SiasaTangulizi

Deni la Serikali laongezeka kwa trilioni 11

Spread the loveDENI la Serikali imeongezeka kwa takribani Sh. 11 trilioni sawa...

error: Content is protected !!