Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Makonda kufikishwa kortini
Habari za SiasaTangulizi

Makonda kufikishwa kortini

Paul Makonda
Spread the love

 

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kufikishwa mahakamani, wakati wowote kuanzia sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Makonda anatarajiwa kufikishwa mahakamani, pamoja na mambo mengine, kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, ikiwamo kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Dar es Salaam.

Undani wa habari hii soma Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumatatu, tarehe 15 Novemba 2021.

3 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Spread the loveNaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

error: Content is protected !!