Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yapiga stop kuagiza mita za luku
Habari za Siasa

Serikali yapiga stop kuagiza mita za luku

Dk. Medard Kalemani, Waziri wa Nishati
Spread the love

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema kuanzia Julai mwaka huu, serikali itasitisha uagizaji wa mita za luku ya umeme kutoka nje ya nchi ili kutoa fursa kwa wawekezaji wa ndani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Dk. Kalemani amesema nia ya serikali ni kutoa nafasi kwa wawekezaji nchini kuanza kuzalisha vifaa hivyo ili kuendana na kasi ya Tanzania wa viwanda.

Waziri huyo amesema kuwa usitishwaji wa kuagiza mita za luku unaenda sambamba na ule wa nguzo za umeme kutoka Afrika Kusini na transfoma kutoka nchini India.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!