Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Shonza aitwa mahakamani kesho
Habari za SiasaTangulizi

Shonza aitwa mahakamani kesho

Spread the love

MAHAKAMA ya Hakim Mkazi mkoani Dodoma imemuagiza naibu waziri wa utamaduni, Sanaa na michezo, Juliana Shonza, kufika mahakamani kwa “hiari kesho” Ijumaa, vinginevyo itatoa amri ya kukamatwa na kufikishwa mbele ya mahakama kwa nguvu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Agizo hilo limetolewa kufuatia Shonza kushindwa kufika mahakamani
kutoa ushahidi kwenye kesi ya jinai aliyoifungua dhidi ya mbunge mwenzake, Saed Kubenea.

Katika kesi hiyo Na.8 ya mwaka 2018, Kubenea anatuhumiwa kumshambulia Shonza kwa kinachoitwa, “kitu chenye bapa,” jambo ambalo amedai limemsababishia maumivu makali na kuteguka viongo.

Kubenea amekana madai hayo na kuongeza, “yote yaliyoelezwa yamesheheni siasa za maji taka.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!