Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Usafiri wa meli kutoka Dar- Z’bar wasitishwa
Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri wa meli kutoka Dar- Z’bar wasitishwa

Spread the love

USAFIRI wa majini kati ya Dar es Salaam na Zanzibar umesitishwa siku ya leo hadi hapo utakapotangazwa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kampuni ya Azam Marine na Kilimanjaro Fast Ferries kwa kupitia Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA) pamoja na taarifa kutoka Mamlaka Ya Udhibiti wa Hali ya Hewa (Zanzibar) imetangaza kusitisha safari hizo kutokana na hali mbaya ya hewa.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa safari huzo zimesitishwa kuanzia leo tarehe 23 Oktoba, 2018 kutokana na hali ya hewa mpaka itakaporuhusiwa na mamlaka husika pamoja na hali baharini kutulia.

Abiria waliokuwa wanatakiwa kusaifiri siku ya leo watembelea ofisi za Azam Marine kwa maelezo zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

error: Content is protected !!