Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni
Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni

Spread the love

WANAFUNZI kadhaa katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha wanadaiwa kutumbukia katika shimo la choo cha shule hiyo mchana huu. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa za tukio hilo zimesambaa mchana wa leo tarehe 26 Oktoba 2018 katika mitandao ya kijamii.

Kufuatia tukio hilo, Mtandao huu ulimtafuta kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Ramadhan Ng’azi ili kupata uthibitisho wa tukio hilo.

SACP Ng’azi ameuambia mtandao huu kuwa, hana taarifa za tukio hilo kwa muda huu, na kwamba anafuatilia tukio hilo kisha baadae atatoa taarifa sahihi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Spread the loveKATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

Spread the loveKATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini,...

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

Spread the love  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

Spread the loveMFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito...

error: Content is protected !!