Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Operesheni fagia mashoga yaiva
Habari Mchanganyiko

Operesheni fagia mashoga yaiva

Spread the love

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa ameshatumiwa majina ya wanaume 100 wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na jumbe 5,763. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kupitia taarifa yake Makonda ameeleza kuwa wanaDar es Salaam wamewachoka na hawapendezwi na tabia ya ushoga hivyo wametoa ushirikiano na ofisi yake.

Zoezi hilo limeibuka mara baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Amber Rutty kuachia video yake ya ngono.

“Nimepokea jumbe zaidi 5,763 na majina ya mashoga zaidi ya 100 hii inaonyesha WanaDSM hawataki laana ya mashonga. Naendelea kupokea majina ya Mashoga,” amesema Makonda.

Makonda amesema msako mkali wa kamata kamata ya mashoga na watu wanaojiuza utaanza wiki ijayo kwani kwa sasa anakiandaa kikosi kazi pamoja na kupokea baadhi ya majina.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!