Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Operesheni fagia mashoga yaiva
Habari Mchanganyiko

Operesheni fagia mashoga yaiva

Spread the love

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa ameshatumiwa majina ya wanaume 100 wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na jumbe 5,763. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kupitia taarifa yake Makonda ameeleza kuwa wanaDar es Salaam wamewachoka na hawapendezwi na tabia ya ushoga hivyo wametoa ushirikiano na ofisi yake.

Zoezi hilo limeibuka mara baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Amber Rutty kuachia video yake ya ngono.

“Nimepokea jumbe zaidi 5,763 na majina ya mashoga zaidi ya 100 hii inaonyesha WanaDSM hawataki laana ya mashonga. Naendelea kupokea majina ya Mashoga,” amesema Makonda.

Makonda amesema msako mkali wa kamata kamata ya mashoga na watu wanaojiuza utaanza wiki ijayo kwani kwa sasa anakiandaa kikosi kazi pamoja na kupokea baadhi ya majina.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!