Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka
ElimuTangulizi

Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka

Spread the love

WATAHINIWA 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wa mwaka 2018. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akitangaza matokeo hayo leo tarehe 23 Oktoba 2018 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde  amesema  ufaulu huo ni ongezeko la asilimia 4.96 kutoka asimilia 72.76 kwa mwaka jana hadi kufikia 77.725 mwaka 2018.

Dk. Msonde amesema takwimu zinaonyesha kuwa ufaulu katika masomo ya Maarifa ya Jamii, Kiingereza, Sayansi na Hisabati umepanda kwa asilimia kati ya 4.03 na 11.92 wakati somo la Kiswahili ukishuka kwa asilimia 1.44 ikilinganishwa na ufaulu ulivyokuwa mwaka 2017.

Katika hatua nyingine, Dk. Msonde amesema kati ya wanafunzi waliofaulu mtihani huo, wasichana walikuwa 383,830 idadi ambayo ni sawa na asilimia 77.12 na wavulana 350,273 (78.38)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

Spread the love  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara,...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Wanachama 384 CUF watimkia Chadema, Mbowe awapokea, Kambaya ndani…

Spread the loveJUMLA ya wanachama 384 wanachama wa Chama cha Wananchi CUF...

error: Content is protected !!