Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto Kabwe akamatwa Dar
Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe akamatwa Dar

Spread the love

KIONGOZI wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zubery Kabwe, amekamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa kutoka kwa watu waliokaribu na mwanasiasa huyo machachari nchini zinasema, kwa sasa Zitto amepelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kwa mahojiano zaidi.

Inaelezwa kuwa Ziito amekwenda kuhojiwa juu ya madai yake kuwa raia zaidi 100 wameuwa na Polisi katika Kijiji cha Mpeta, Wilayani Uvinza, Mkoani Kigoma.

Zitto alitoa madai hayo Jumapili iliyopita, katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Habari kamili fuatilia: www. MwanaHALISI Online.com, hivi punde.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la...

Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

Spread the loveALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na...

Habari za Siasa

Marekani kuwekeza Dola 500 Mil kupeleka bidhaa na huduma Tanzania

Spread the loveMAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris amesema miongoni mwa...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

Spread the loveKATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania...

error: Content is protected !!