Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto Kabwe akamatwa Dar
Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe akamatwa Dar

Spread the love

KIONGOZI wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zubery Kabwe, amekamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa kutoka kwa watu waliokaribu na mwanasiasa huyo machachari nchini zinasema, kwa sasa Zitto amepelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kwa mahojiano zaidi.

Inaelezwa kuwa Ziito amekwenda kuhojiwa juu ya madai yake kuwa raia zaidi 100 wameuwa na Polisi katika Kijiji cha Mpeta, Wilayani Uvinza, Mkoani Kigoma.

Zitto alitoa madai hayo Jumapili iliyopita, katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Habari kamili fuatilia: www. MwanaHALISI Online.com, hivi punde.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!