Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Makonda: Mashoga wamekimbia Dar, wamehamia Dodoma
Habari Mchanganyiko

Makonda: Mashoga wamekimbia Dar, wamehamia Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
Spread the love

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuna baadhi ya watu wanaofanya biashara ya kuuza mwili (machangudoa na mashoga) wamehamia Dodoma ili kutafuta soko. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Makonda ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari leo tarehe 31Oktoba 2018 jijini Dar es Salaam.

Amesema, tangu serikali itangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi, kuna watu walishaanza kutangulia mkoani humo, ambapo wengi wao wanatoka jijini Dar es Salaam.

“Na kama mnakumbuka pale waliposema makao makuu ya nchi yanakuwa Dodoma kuna watu walishaanza kutangulia Dodoma kama sehemu ya kujua soko lao linapatikana kule, na hao wanaofanya hivyo wanatoka Dar es Salaam,” amesema na kuongeza.

“Kuna watu wametoka Buguruni wameanzisha madanguro yao Bagamoyo, Mpanda Arusha  na Dodoma.Sio jambo jema.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!