Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Ukosefu wa ajira kwa vijana wa China ni tishio kiasi gani kwa serikali
Kimataifa

Ukosefu wa ajira kwa vijana wa China ni tishio kiasi gani kwa serikali

Spread the love

 

WAKATI takwimu zikionesha kuwa kijana mmoja kati ya watano ndio anayepata ajira nchini China inaelezwa kuwa kiwango cha ukaidi cha vijana wasio na ajira nchini humo kinaweza kuichagiza serikali kuchukua hatua, Imeripotiwa na Bloomberg … (endelea).

Kufikia sasa, Beijing imekuwa ikitoa ahadi tupu ikiwa kuna wasiwasi wa uchumi kushuka kwa kasi.

Wachambuzi wanaeleza kuwa haya yanajili baada ya miezi saba ya kutoka kwenye janga la Covid 19.

Pamoja na hayo yote kuchomoza Chama cha Kikomonisti kinaonekana kuzingatia zaidi utulivu wa kijamii.

Mwaka 2008 wakati wa mgogoro wa kifedha duniani, China ilitekeleza mpango wa kutenga Yuan trilioni 4 (dola bilioni 558) ili kuunda malipo kwa wafanyakazi wahamiaji milioni 20 ambao walikuwa wameachishwa kazi.

Hasara za kazi na mizozo ya mishahara ilisababisha ongezeko kubwa la maandamano makubwa, haswa kwenye ukanda wa utengenezaji wa mashariki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!