BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumapili limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne yaliyofanyika Novemba 14 hadi Desemba 1, 2022, Tanzania Bara na Visiwani ambayo yameonesha ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.49 ikilinganishwa na matokeo ya watahiniwa wa shule mwaka 2021.
Tazama matokeo hayo hapa. https://matokeo.necta.go.tz/csee2022/index.htm
Matokeo kidato Cha nne 2022_2023