Wednesday , 22 May 2024

Month: April 2023

Afya

Kipindupindu chabisha hodi Dar, wagonjwa 10 waripotiwa

  Ugonjwa wa Kipindupindu umeibuka jijini Dar es salaam ambapo zaidi ya watu 10 wamethibitika kuugua ugonjwa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Kimataifa

Waliokufa kwa njaa Kenya wafikia watu 73, walifunga ili kukutana na Yesu

  IDADI ya maiti zilizofukuliwa na polisi nchini Kenya zimefikia 73. Watu hao waliofunga hadi kufa walikuwa wafuasi wa Kanisa la Good News...

ElimuTangulizi

Global Education Link kuitafutia TIA fursa vyuo vya nje.

TAASISI ya  Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na wakala wa vyuo vikuu nje ya nchi Global Education Link (GEL), lengo ikiwa ni kushirikiana kuitafutia...

Michezo

Meridianbet wamwaga Reflectors katika kampeni ya Mtaa kwa Mtaa

  KAMPUNI ya ubashiri Meridianbet Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Usalama wa Barabarani limeanzisha kampeni ya Mtaa kwa Mtaa na Meridianbet...

Kimataifa

Ruto asema mchungaji Mackenzie ni gaidi, waliokufa wafikia 58, mwenyewe agoma kula

RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto amemtaja mchungaji Paul Mackenzie kama mhalifu na gaidi kufuatia kufukuliwa kwa maiti 58 kutoka kwenye  ardhi yake...

Makala & Uchambuzi

Miradi inayofadhiliwa na GGML inavyoleta mageuzi ya kiuchumi Geita

TANGU kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 2000 nchini Tanzania, imekuwa kampuni kinara...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaagiza uchunguzi “Energy Drinks”

  SERIKALI imeiagiza Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kufanya uchunguzi dhidi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (Energy Drinks), ili kubaini...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa Habari wapeleka bunge mapendekezo yaliyoachwa Muswada wa Habari

  WADAU wa Haki ya Kupata Habari nchini (CoRI), wametinga bungeni jijini Dodoma, kwa ajili ya kuwasilisha kwa wabunge mapendekezo yao yaliyoachwa nje...

Habari Mchanganyiko

Mafanikio ya STAMICO yamkosha Msajili Hazina, asema Shirika limefanya mageuzi kwa kuingiza faida

MSAJILI Mkuu wa Hazina, Nehemiah Mchechu amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) baada ya uongozi wake kufanikiwa kuleta mageuzi makubwa na kulifanya...

Kimataifa

Miili ya waliojiua kwa njaa wakitaka kukutana na Yesu yafukuliwa

  POLISI nchini Kenya kwamba wamefukua miili ya watu watatu inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki...

Habari Mchanganyiko

Jamii yatakiwa kuwajibika kulinda maadili

  SHEIKH wa mkoa wa Dodoma Alhaji Mustapha Rajabu Shaabani amesema suala la kukemea au kupinga vitendo haramu vya ushoga na ndoa za...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka Bunge lisikwamishe hatua kwa vigogo walioguswa na CAG

  KATIBU wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, aanze kuwashughulikia vigogo waliohusika na vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu yataja mwarobaini vitendo vya ushoga, usagaji

  SHURA ya Maimamu Tanzania, imeitaka Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu wanaofanya au kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, ili kulinda...

Habari Mchanganyiko

Mtoto aliyesaidiwa matibabu na Rais Samia atoa simulizi ya kusisimua

  KIJANA Hamimu Mustapha Baranyikwa (15), mkazi wa kijiji cha Nyakanazi, Biharamulo, Mkoani Kagera, amesimulia jinsi alivyougua maradhi ya ngozi mwilini mwake kwa...

Kimataifa

Ongezeko la idadi ya watu India, waitishia usalama wa Beijing

  CHINA imeingia katika wasiwasi baada ya baada ya India kutangazwa kuwa nchi yenye idadi kubwa ya watu, ambao wanaonyesha kutishia usalama wa...

Michezo

Meridianbet wanaupiga mwingi wikiendi hii Odds za kumwaga

  MERIDIANBET wikiendi hii wanaupiga mwingi kwa kuhakikisha wanakupa odds bomba na kubwa katika michezo mbalimbali ambayo itapigwa katika ligi Barani Ulaya kuanzia...

Kimataifa

400 wapoteza maisha mapigano Sudani

  MAPIGANO yaliyozuka katikati ya mwezi wa Aprili nchini Sudan tayari yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 400 na wengine zaidi ya 3,500...

Michezo

Shinda Sh. 2.5 milioni za Meridianbet Kasino ya mtandaoni

  KUTOKA nyumba ya mabingwa Meridianbet Kasino ya mtandaoni yaja na promosheni nyingine, baada ya kutambulisha Drops &Wins sasa kuna hii ya Spring...

Kimataifa

Rais Museven aagiza muswada wa adhabu ya kifo kwa mashoga ufanyiwe marekebisho

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wenye utata  dhidi ya mashoga na wasagaji, ambao umezungumzia adhabu ya kifo katika...

Habari za Siasa

Rais Samia amteua Balozi Kagasheki kumrithi Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili 2023. Awali nafasi hiyo...

Habari Mchanganyiko

DC Rungwe apongeza mchango wa Wananchi katika ujenzi wa Shule ya Msingi na Bweni la Sekondari

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amefanya ziara katika Kata ya Ikuti na kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na...

Michezo

Meridianbet yazindua duka jipya Vingunguti Relini

  KAMPUNI ya Meridianbet yenye ODDS KUBWA imeendelea kutanua wigo wa huduma kwa wateja wake baada ya kufungua duka lingine mitaa ya Vingunguti...

Habari za Siasa

Mdee ang’ang’ania mshahara wa waziri kisa madai ya watumishi

  MBUNGE Viti Maalum, Halima Mdee (Chadema), ametishia kutopitisha fungu lenye bajeti ya mashahara wa Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi...

Habari Mchanganyiko

Wassira: Mikataba mibovu inapoteza uaminifu wa wananchi kwa serikali

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), Stephen Wassira, amesema kitendo cha baadhi ya taasisi za Serikali kusaini...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa habari wawaangukia wabunge

  WADAU wa Haki ya Kupata Taarifa nchini (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza waandishi wa habari ili wapate mapendekezo yao yaliyoachwa katika Muswada wa...

Habari za Siasa

Spika aagiza changamoto malipo kwa wastaafu iishe

  SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson, ameagiza Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji malipo ya mafao ya wastaafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Spika Tulia...

Habari za Siasa

Kilio uhaba wa maji kuwa historia Musoma Vijijini

  CHANGAMOTO ya uhaba wa maji katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, iko mbioni kuisha baada ya Serikali kupeleka miradi ya maji...

Habari Mchanganyiko

21 wadakwa kwa tuhuma wizi vifaa vya miundombinu ya maji

  JESHI la Polisi Mkoani Tabora limewanasa watu 21 kwa tuhuma ya kujihusisha na wizi wa vifaa vya na miundombinu ya maji mali...

Habari Mchanganyiko

Zungu alia popo kukithiri Kivukoni

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, ameitaka Serikali kuchukua hatua za haraka kuondoa popo wanaoharibu mazingira maeneo ya Kivukoni, jijini Dar...

Habari za Siasa

Tanzania yalaani mapigano Sudan, kuwarejesha nyumbani Watanzania 210

  SERIKALI ya Tanzania, imezitaka pande mbili zinazosigana nchini Sudan na kusababisha mapigano yaliyogharimu maisha ya watu zaidi ya 180 na majeruhi 1,000,...

Habari Mchanganyiko

Mkono afariki dunia

NIMROD Elirehema Mkono, aliyekuwa mbunge wa Musoma Vijijini na baadaye Butiama, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia leo Jumanne nchini Marekani. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kesi ya kina Mdee kupinga kufukuzwa Chadema yapigwa kalenda

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, imeahirishwa hadi tarehe 18 na 19 Mei,2023 kutokana na Jaji anayeisikiliza, Cyprian...

Habari za Siasa

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi Mwanza

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili 2023.

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa bilioni 8 kusomesha madaktari bingwa 400

SERIKALI kwa mara ya kwanza imeanzisha utaratibu wa ‘Samia Suluhu Super specialist program’ wa kusomesha madaktari bingwa zaidi ya 400 ili kukabiliana na...

Habari Mchanganyiko

Membe agoma kumsamehe Musiba

  BERNARD Kamilius Membe, waziri waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa, amegoma kumsamehe mdai wake – Cyprian Musiba...

Kimataifa

Montana mbioni kupiga marufuku matumizi ya ‘Tiktok’

  JIMBO la Montana ya Marekani lipo Mbioni kupiga marufuku ya matumizi ya mtandao wa kijamii wa Kichana wa ‘TikTok.’ Gazeti la Montana...

Michezo

Meridianbet kutoa milioni 650 kupitia rops & Wins

  MERIDIANBET Kasino ya mtandaoni inakupa mchongo wa kutusua kimaisha kupitia shindano lake kipya la Drops & Wins ambalo litakuwa linawazadia washindi mamilioni...

Habari Mchanganyiko

Kampeni ya #MitiMilioni ya Benki ya NMB yatua Tabora!

BENKI ya NMB imeendelea kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kupitia kampeni ya MitiMilioni nchi nzima, kwa kuiadhimisha mkoani Tabora na...

Habari Mchanganyiko

Elimu ya uzazi yapunguza mimba za utotoni Muheza

ELIMU ya uzazi inayotolewa kwa makundi ya vijana Wilaya ya Muheza Mkoa wa Tanga imetajwa kuchangia kupunguza idadi ya mimba kwa wasichana wenye...

Michezo

Robo fainali ya pili ya UEFA, nani kutinga Nusu Fainali?

  WAHENGA waliwahi kusema usiku wa deni hauchelewi, ni sasa kule kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kitaeleweka nani mbambe dhidi ya mwenzake, raundi...

Habari Mchanganyiko

Wabunge waipongeza NMB kampeni upandaji miti

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Spika Dk. Tulia Ackson, wameipongeza Benki ya NMB kwa kuanzisha Kampeni kupanda...

Michezo

Meridianbet yagawa vifaa vya michezo kwa timu mbili za Wanawake

MERIDIANBET ambao ndio mabingwa wa michezo ya kubashiri wenye ODDS KUBWA leo imeamua kugusa soka la wanawake baada ya kuzikifikia  timu hizo na...

Michezo

Historia ya mpira na utajiri wake

  HISTORIA ya mpira wa miguu ilikuwepo tangu karne ya 15C, lakini ilisambaa Zaidi karne ya 19C huko Uingereza ambapo mpira wa miguu...

Michezo

Simulizi za kale ndani ya Meridianbet Kasino

  BILA shaka simulizi za kale huwa zina sisimua na kufurahisha haswa unapopata mtu anayejua kusimulia au stori nzuri iliyoandikwa kwenye mtiririko mzuri...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa sekta binafsi wakutana na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameshiriki katika ufunguzi wa kongamano kati ya Sekta ya Uchukuzi na wadau wa sekta Binafsi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka Mwigulu, Mbarawa washtakiwe kwa uhujumu uchumi

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amesema kutokana na madudu yaliyoibuliwa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa majina wafanyabiashara 13 waliofariki ajalini Songea

  JESHI la Polisi wa Mkoa wa Ruvuma limetaja majina ya wafanyabiashara 13 waliofariki dunia katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana tarehe...

Habari za Siasa

Dk. Mpango atangaza kibano waliotajwa ripoti ya CAG

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amesema serikali itawachukulia hatua wale wote watakaobainika kuwa wamefanya ubadhirifu...

Kimataifa

“Diplomasia ya Yuan China ni aina mpya ya mtego wa madeni

  INAELEZWA kuwa China imekuja na mkakati mpya wa kupunguza ushawishi wa Marekani pamoja na kuishusha dola kwa kuanzisha Diplomasia ya Yuan ambapo...

Michezo

Wiki ya Moto Man City vs Bayern, Madrid vs Chelsea Odds kubwa Leo

  ZILIANZA timu 32, zikafika 16, na hatimaye zimebaki 8 katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, unatabiri timu zipi...

error: Content is protected !!